Recent content by Mkolea GF

  1. M

    Mzee wetu B.W. Mkapa, uko wapi? Unayaona haya?

    Mkuu usijal tutakutana october ondoa hofu kwa hilo.
  2. M

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    Mtimbwilimbwi ndan ya mtwara
  3. M

    Wakristo tubadilike katika hili

    Mkuu ni kwel kabisa usemalo, wakristo wengi huwa tunaona aibu kubarik chakula kwamama nitilie hata mahotelin pia.
  4. M

    Nimecheka mpaka machozi

    Inachekesha lkn sio sana
  5. M

    Neno la kumwambia after sex

    Duh!, hii Nchi hii badala ya kuwaza maendeleo ww asubuh yote hii unawaza ngono!. Haya ndio madhara ya kula kulaa bure.
  6. M

    Pochi za kisasa zinauzwa

    Hizo pochi za sh 45000 ndani zina tv?
  7. M

    Mwanafunzi wa shule ya msingi akutwa akijiuza kwa Dereva wa Bodaboda Morogoro

    Shetan amechukua nafas kubwa sana ktk maisha yetu. Wanawake wote hawa waliojaa unatembea na katoto kadogo ka darasa la 4!, huyo jamaa anastahil adhabu kali sana sababu ni muharibifu.
Back
Top Bottom