Bro unatumia nin kufikiri Nina mashaka na elimu yako usidharirishe taaluma za watu mh sitta Alisoma Mzumbe makinda na viongoz wengine wakubwa wamesoma mzumbe tuna wasomi wengi kuliko shangazi zako waliosoma hapo
Think Globally act locally!
TUSADIE MAENDELEO YA JIMBO LA KALENGA.
Wadau Mimi ni mwanainchi wa Jimbo la tajwa hapo juu,naomba kwa Hali na Mali tusadie maendeleo ya Jimbo kwa kuhakikisha maji salama,afya na kuwasisitiza viongozi wetu kuona umuhimu wa huduma za afya na maji hasa kwa Mbunge wetu kutembelea Jimbo hili na...
Kwa muda mrefu watu wasio Takia Mema Umoja Wetu na UKAWA wamekuwa wakitumia nguvu nyingi na weledi mdogo kupambanisha fikra sahihi na wasaliti kwa kuendleza siasa za majitaka Mimi nawaita wenye fikra ndogo wakijaribu kupambana n falsafa ya ukombozi kwa kuturudisha nyuma tuwakumbushe wanainchi...
Kiukweli kama kijana wa nchi hii nimesikitishwa na mchakato huu wa katiba iliyopendekezwa.binafsi nimeamua kuandika machache kwa kalamu na wino.naandika haya nikililia nchi yangu yenye maziwa na asali lakini wachache wanajinufaisha eti kisa wingi wao bungeni.tuamke tuzinduke tuwaelimishe ukweliv...
Nyie kunguru tena msojitambua mmeshikiwa akili kwa taarfa yenu rudini darasa la tano mkajifunze elimu ya Uraia na haki za RAIA.maandamano ni haki ya raia na katiba inambua haki hyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.