Recent content by Mkirindi

  1. M

    Kwanini Serikali ya Rais Samia inashambuliwa na Luhaga Mpina na Waziri wa kisekta, Msemaji na Katibu Mkuu wapo kimya?

    MPINA ANAFANYA RESEARCH NA ANAO USHAHIDI WA KUTOSHA, KWA HIVYO HAOGOPI. NI VIGUMU KUUPINGA UKWELI ULIO NA USHAHIDI, WAKIJARIBU WATAJIABISHA. SAKATA SUKARI AKIWASHINDA NA AKIPIGAKA KWENDA MAHAKAMANI AKAZIMWA NA BOSI WA BASHE AMBAYE SIO RAISI. MPINA ANAPATA DATA ZOTE VIZURI, LAKINI NAYE KAIFANYA...
  2. M

    Ni wakati sasa wa kubadili Falsafa za Mwalimu Nyerere na kuchunguza na kuhoji mienendo yake

    Nyerere alikuwa na dosari zake, lakini Nia yake ilikuwa nzuri, NI Raisi pekeye TZ aliyeondoka madarakani akiwa Hakujitengenezea au kujibambikiza Mali. Lakini sijui kwanini tunailaumu Zanzibar, Sultan Tumempindua Sisi, Karume na maraisi wao Wote tumewaweka vitini Sisi, Znz tumeishikilia na...
  3. M

    Gaddafi wanted to Islamise all Africans and this was the only problem with him

    Rafiki wakubwa wa Gadafi wa kiafrika walikuwa Maraisi WAKRISTO, na nchi alizozisaidia nyingi zina idadi kubwa ya wakristo, k.m. Mugabe & Zimbabwe, Museveni & Uganda, Kibaki/Uhuru & Kenya, na hatujaona akiwashawishi kuingia uislamu. Hizo zilikuwa fitina za Nchi za Magharibi. Tuatacha lini uzembe...
  4. M

    Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo: Waagizaji hawakupaswa kuleta mchele wa Msaada kutoka Marekani kwani Tanzania ina hazina ya mchele

    Swali jee utafiti umefanywa kuhakikisha hivyo virutubisho ni vizuri kwa watoto wetu, visine kuwa na Virutubisho vya kujenga marekebisho ya JINSIA ya Vijana kuwa vinginevyo. Maana siku hizi kuna hila za kupunguza idadi ya watu, haswa barani Africa
  5. M

    Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

    Sio unafiki, kila mtu ana mazuri na mabaya take, ukiwa Hai unapewa za usoni kuhusu ubaya wako WOTE, siku ukifa uzuri uliozikwa miaka Kenda unafukuliwa. MZANZIBARI NAWE WACHA UNAFIKI JITINGE KWENYE UKWELI
  6. M

    Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

    Huyu kamtetea JK kawa Chawa, jee angemsifia Lowasa angeitwa mdudu gani?
  7. M

    Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

    Kwa hivyo hao wanao mremba Lowasa nao WOTE NI wanawake?
  8. M

    Lowassa hakuwa malaika, alikuwa kiumbe kama wengine na alikuwa na dosari zake. Mungu amuweke pema peponi

    Wacheni ujinga na unafiki, Leo Lowassa katangulia WOTE tunampaka maradhi na kumfukiza Udi. Tuache unafiki. Lowassa alikuwa KIONGOZI mzuri lakini alikuwa na makandondo yake. 1. Lowassa Akipokuwa PM, alikuwa mla Rushwa Mkubwa Sana hata akapewa jina la MR 10%. 2. Aliua watu KISIASA haswa wake...
  9. M

    Ajali za Kisiasa za kutengenezeana zinavyoua ndoto za Viongozi wetu bora

    Wacheni ujinga na unafiki, Leo Lowasa katangulia WOTE tunampaka maradhi na kumfukiza Udi. Tuache unafiki. Lowasa alikuwa KIONGOZI mzuri lakini alikuwa na makandondo yake. 1. Lowasa Akipokuwa PM, alikuwa mla Rushwa Mkubwa Sana hata akapewa jina la MR 10%. 2. Aliuwa watu KISIASA haswa wake...
  10. M

    Jamii yetu imegoma kustaarabika, mfano mzuri ni msiba wa Lowassa

    Ndugu kama unataka kufananisha udhalimu WA viongozi WA kidini, basi ukae ukijua HAKUNA VIONGOZI WA KIDINI MATAPELI , WASHARATI, MALAYA, WAONGO, WANAFIKI NA WAUWAJI KAMA VIONGOZI WA KANISA KATOLIKI NA VIONGOZI WA BAKWATA, hao wanabeba kombe kila mwaka. NINA ZUNGUMZIA VIONGOZI NA SIO WAUMINI
  11. M

    Sasa ni dhahiri CCM inamuogopa Mbowe, lakini unadhani ni kwanini inamuogopa kiasi hiki?

    Wewe NI Kunguni Uliyeiva na karibu utapasuka kwa uvinbe WA ujinga na uzembe. Naitambua michango kwa muda mrefu na mingi NI ya ovyo ovyo . Mbowe haogopewi Bali anastahili heshima kwa sababu naye anaheshimu watu na anajiheshimu period.
  12. M

    Makonda awaomba CHADEMA kusitisha shughuli zao za kisiasa, kuomboleza kifo cha Lowassa

    Siasa sio vita. Makonda anahitaji kutafakari juu ya matumizi ya vijineno vinavyoweza tafsiriwa vibaya au kutuletea uchochezi
  13. M

    PreGE2025 Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

    Tundu Lissu akifanikiwa URaisi, ataiingiza Tanzania kwenye Historia ya Dunia na Gueness Books of Record, kuwa Nchi ya Kwanza Africa kuteuwa Mawaziri MASHOGA, na ata Bariki na kuifanya Sheria ya NDOA ZA NJISIA MOJA kutumika TZ. Pia ataueneza ukabila, kwani hatateu Waziri au KIONGOZI yoyote mwenye...
  14. M

    PreGE2025 Ubadhirifu: Huu ni Msafara wa Makonda, baadaye anapanda Punda halafu Wajinga wanamshangilia

    Mbona huu NI kama msafara WA Ruto juke Kenya, wakati WA uchaguzi
Back
Top Bottom