Yes yes tunahitaji Chama kipya Kama anayoandika Dr kitila katika gazeti la Raia Mwema.
Hicho Chama mwenyekiti wake awe ZITTO, Makamu awe Rashid HAMADA, Katibu MKUU awe KITILA, naibu Katibu mkuu awe KAFULILA, kitakuwa SUPA Maana wataridhika na KUtuletea maisha BORA, VIVAAA mafisadi!!!!!!