Kumbukumbu za wabongo! Mabasi haya yalikuwapowapo enzi za Nyerere na MWinyi UDA miaka ya 1980 -1990.
lakini waliyaharibu na hivi karibuni yaliuzwa cheaply. UJINGA TU! WIZI LAAANA. Hats haya yatauzwa
Huko Ulanga Magharibhi, eneo moja kuna msitu mkubwa panaitwa BUNDUKI magari mengi HAsa maroli ya yaliyokuwa ya yanaenda kununua mpunga Yakiwa na wafanya BIASHARA yalitekwa na majambazi saa nne ZA usiku wakanyanganywa hela zao magari yalibomolewa vioo ilikuwa saa 4 usiku! TTAREHE 21 MWEZI WA...
Nimeisoma hii habari kwa uelewa wangu nimegundua Generali anajaribu kuilaumu serikali ya Tanzania kwa kusaidia DRC?? Na kwa kuishughulikiam23 na kagame?
Cha Msingi NI amani kuwepo na pia kuandaa unyanyasaji katika nchi husika na Si kupewa majina.
Kagame ana watetezi wengi!!!!
Yes yes tunahitaji Chama kipya Kama anayoandika Dr kitila katika gazeti la Raia Mwema.
Hicho Chama mwenyekiti wake awe ZITTO, Makamu awe Rashid HAMADA, Katibu MKUU awe KITILA, naibu Katibu mkuu awe KAFULILA, kitakuwa SUPA Maana wataridhika na KUtuletea maisha BORA, VIVAAA mafisadi!!!!!!
hakika aliyeuliza swali ninadhani anaishi DAR, Mbunge MKONO anapatikana jimboni kila mwishoni mwa wiki, Juzi alikuwa mgango katika harambee ya tarafa ya NYANJA mgeni rasmi alikuwa prof MUHONGO, acheni uchuro na uka...Kwa taarifa yako CHUO KIKUU CHA KILIMO UVUVI, na MIFUGO kiNaanza mwaka 2015...
Yaani Leo hapo surrender bridge wamekuwa Wakali sana. Cha ajabu wanatisha HATA kulaza mtu ndani Kumbe wanachotaka NI hela! Nimewapatia elfu kumi nikaaondoka kosa lilikuwa dogo cha ajabu wakanitisha kuniweka ndani!!! Hebu Jiulize ikitokea mtu akawa hana hela Si atanyanyaswa na kufungiwa...
Je mwajua GPA ya huyo Dr anaewaona viongozi hawana elimu GPA yake 3.3. tena HATA kazi sijui alipataje chuo kikuu Maana ILI upate ajira Chuo kikuu unatakiwa kuwa na GPA ya 3,8au ZAIDI?
Je mwanakiji GPA ya huyo ya huyo Dr anaewaona viongozi hawa na elimu GPA yake 3.3. tena HATA kazi sijui aliptaje Chou Maana ILI upate ajira Chou unatakiwa kuwa na GPA ya 3,8au ZAIDI?
Mkiambiwa kwa baadhi ya watanzania kama wewe NI wavivu aw kufikiri MNAANA kusema mumetukanwa, au wewe unajifanya mjanja ukidhani wote hawafikiri,
Waiofikiri Mara nyingi husukuma kila lawama kwa mungu, au huomba mungu ILI mvua inyeshe kutatua tatizo la umeme!
Si ajabu hata tuna wabunge ambao ni wahamiaji haramu, pia wapo jeshini!! si ajabu katika rank za juu wangefika tu kumi then wangelidai kuwa CDF, na hapo ndipo tungekuwa na m23 ndani ya miaka 10 tu ijayo!
Bravo JK, mbinu ya hawa jamaa ilikuwa ni kujikita katika vyeo vya juu uhamiaji, fanyeni...
Kuna watu wabinafsi kuliKO wajita(MAJITA KAMA JINA LAKO?) huko Musoma? Je wajita wangapi ambao wamesoma tangu uHuru kuna maprofessor KIBAO LAKINI WAMEFANYA NINI HUKO? mKONO KAJA IN LESS THAN 13 YEARS AMEFANYA MAKUBWA NENDA UJIONEE SHULE ALIYOJENGA MUGANGO AMBAYO IMEKAMILIKA KARIBU NA KWAO...
Ninasikia DEO huyo kaachwa upende wa pili kwa hiyo Leo walimu wa WILAYA ya butiama wamesheherekea sana !!! Ninashangaa habari hii haijapewa umhimu humu ndani!! Elimu NI umhimu Jamani HUYU DEO NI tatizo!!
NAPE haya ndiyo watu na watanzania wengi wamekuwa wakitaka lakini baadhi ya VIONGOZI Wetu wa CCM wamezoea kula bila kunawa na imekuwa mazoea hao viongozi kubadili masilahi yao kuwa matakwa ya CHAMA!!
ndio maana ninasikia huko KAGERA hao madiwani wananae wameweka maslahi ya nchi kwanza!! Cha...
Ninaomba hii ipelekwe katika jukwaa la ELIMU, tena ninasikia hawa Maafisa Elimu wamekuja kwenye big failure NOW wako DAR?
wadau mlioko huko kawaaulizeni hao Maafisa wamejipangaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.