Recent content by mkimotoli

  1. M

    Nimeumizwa sana na Dr. Slaa

    Hata Lowassa alikatwa na kamati na bado mnamwona kuwa ni dili. Hiyo ndo bei ya kuuza chama kwa fisadi.
  2. M

    Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

    Kama ilivyokuwa kwa Lowassa na wapambe wake ndani ya CCM, Dr. Slaa naye hajaridhika na mchakato ndani ya CHADEMA. Kama ilivyokuwa kwa Lowassa, Dr. Slaa na wafuasi wake nao vivyo hivyo wana haki ya kuachana na CHADEMA. Kama kuondoka kwa Lowassa kumeikosti CCM, kuonda kwa Dr. Slaa hakuwezi...
  3. M

    Dr. Slaa atakuwa adui namba 4 kati ya maadui wa 3 wa Mwl Nyerere

    Kwani Lowassa bila Dr. Slaa hatoshi?
Back
Top Bottom