Mwanaume anayefanya hivo ni mzembe na hana maono mazuri juu ya biashara! Once ukishafungua biashara baada ya muda biashara inatakiwa ijiendeshe yenyewe na sio kutoa pesa mfukoni ili kuiendesha. Ukiona umemfungulia hawala biashara na anashindwa hata kumudu operation cost kama kodi mpaka pesa...
Nafikiri nyie wanaume ndo mnasababisha hii hali inazidi kudumu na kukua kwa kasi, maana wanacheza hivo ili kuwawinda nyie na mnawindika kwelikweli😄, anyway binafsi naonaga kama wanapandwa na maruhani/mapepo wanahitaji maombi hao
Kuna mtu alipewa rufaa mloganzila akakaa masaa kadhaa akafariki, walikuja kuzuia maiti mpk bill ya dawa alizotumia mgonjwa 2M ilipwe. Dawa zenyewe aliandikiwa ila hazikutumiwa ndipo mgonjwa akafariki. Hii nchi ukishakuwa maskini ni mateso tupu
Kwakweli hakuna kitu kinaumiza kama unaamka kila siku asubuhi na Huna pakwenda, Huna mchongo hata wa kuusikilizia na familia inakuangalia wewe, kama hujawahi pitia hii hali usiombe kabisa ikutokee..
Mtu yeyote ambae anatumia matusi kama suluhisho la matatizo yake namuona kama Ana matatizo ya akili kwakweli! Hapa najiuliza kwahiyo anavotukana hivo anasolve tatizo kwa namna gani??? Naomba nieleweshwe kwa yule anayemuelewa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.