Recent content by MKILINDI

  1. MKILINDI

    Msaada tafadhari: Tiktok inamfundisha shemeji yangu ushoga

    Tengeneza acc fake mfollow..then mtongoze
  2. MKILINDI

    Rafiki wangu amegundua mke wake anajihusisha na usagaji. Anaomba ushauri wenu

    Kwahyo jibaba lokikukuruka linaonekana lonajisumbua tu.
  3. MKILINDI

    Nikiwa kwenye maandalizi ya tendo, manii zinatoka na hamu ya kuendelea na tendo inakata kabisa

    Acha nyeto, acha kuangalia ngono. Stay fam. Fanya mazoezi, kula vizuri.
  4. MKILINDI

    Hivi kwa nini walimu wa shule za msingi za serikali ni wagumu sana kulipa madeni ya watu?

    Kama walimu wa sekondari ni wepesi kulipa madeni, basi kumbuka kuwa mwaka 2018 kuna walimu wa sekondari walishushwa kwenda msingi. Hili uelewe hili inabidi utafakuri sana.
  5. MKILINDI

    Humphrey Polepole anaongea mbashara kupitia mitandao ya kijamii

    Jamaa ana hoja kubwa sana..na,anajua sana kujenga hoja
  6. MKILINDI

    Mekanika kaniwekea Diesel Engine Oil kwenye gari langu la Engine ya Petrol. Je kuna madhara!?

    Haina shida..viscosity ya oil inaendana na age ya engine
  7. MKILINDI

    Mekanika kaniwekea Diesel Engine Oil kwenye gari langu la Engine ya Petrol. Je kuna madhara!?

    Gari inasoma km ngapi kwenye dashboard? Kama injini imetimika sana hakuna shida ila kama ipo standard lazima gari owe underperfomance.
  8. MKILINDI

    GE2025 CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge, maamuzi ya kamati kuu muda huu

    Umeamua kutuchekesha kipindi cha majonzi saa 11 ya saa 20:16 usiku
  9. MKILINDI

    Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

    Kama units zake hazijabadilika...zilikuwa tatu lakin nina iman hii idara inapokea maboresho kulingana na mwelekeo wa dunia ili kuendana na hali halisi. Units nilizokuwa nazijua. ni 1. VIP PROTECTIONS UNIT 2. DETECTIVE UNIT 3. INFORMATIVE UNIT Kila moja ina sifa zake za upekee.
  10. MKILINDI

    Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

    Deepstate.. kuna jopp lenye maamuzi kutokana na uchakataji wa taarifa.
  11. MKILINDI

    Kuna dogo kashinda Millioni 58 kwa kubeti. Mnashauri nini?

    Atulie kwanza TRA wachukue Chao haiwezi kubaki 58mil..then kilichobaki ndio atulize nacho akili. Ikanuwekezaji wa hela ya betting aiweke kwenye gvt compound bond..awe anavuna mshahara wake.
  12. MKILINDI

    Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

    Sema pia huwa hamueleweki. Ungetoka bila kusemeshwa chochote napo ungemuwazia vibaya sana juu ya uanaume wake.
  13. MKILINDI

    Car4Sale Gari aina ya Toyota Rush linauzwa

    Ila bei uloweka ya 180mil ni kubwa sana..
  14. MKILINDI

    Matokeo ya Kidato cha sita 2025: Inaonekana almost wote wamefaulu, kutakuwa na shida kubwa ya University placement

    Watajaa vyuo vingine ila sio UDSM. ufaulu ukipanda na cutoff point zinapanda. Utashangaa darasa wote mwisho kijiti cha 6.
Back
Top Bottom