Recent content by MKIBAIGWAsharkss

  1. M

    Maoni yenu SUV chini ya mil 35 budget

    Chukua forester 2016 unyama sana
  2. M

    Landrover freelander 2

    Wadau nataka kujitupa kwenye hio chuma naombeni ushauri wenu nataka nichukue ya mwaka 2014 yanye engibe code 204PT ina km 110k
  3. M

    Huyu Mpambanaji Anahitaji Muongozo Wako

    Hadi leo hujui uwekezaji unaolipa kuliko wowote? Crypto ❌ Land ❌ Forex ❌ Invest in yourself (nunua sana vitabu na usome) anagalia youtube video za kuelimisha Huo ndo uwekezaji unaolipa duniani kote ,kitu cha kufanya utakipata wakati unasoma hivyo
  4. M

    Huyu Mpambanaji Anahitaji Muongozo Wako

    Hadi leo hujui uwekezaji unaolipa kuliko wowote? Crypto ❌ Land ❌ Forex ❌ Invest in yourself✅ (nunua sana vitabu na usome) anagalia youtube video za kuelimisha Huo ndo uwekezaji unaolipa duniani kote ,kitu cha kufanya utakipata wakati unasoma hivyo vitabu
  5. M

    Mbadala wa Mazda CX-5 na Subaru Forester

    Gari za form one (wanaonza kumiliki gari)
  6. M

    Mbadala wa Mazda CX-5 na Subaru Forester

    Mazda CX-5 zinaelekea kuwa nyingi kama harrier na pia forster nayo the same . Lakini Mazda CX-5 ina masharti kama mganga sijui utoe dpf mara uendeshe km kazaa kutoa huo Moshi .nk Kwangu Mimi hizi ni gari mbadala ambazo zinafanana bei na matunzo ya Mazda na forester 1. AUDI Q5 2.Volkswagen...
Back
Top Bottom