Watanzania wengi wanaumwa huu ugonjwa ila hawajijui,alafu vinaweza kutokea mdomoni au sehem z siri,za mdomoni wengi husema ni homa kumbe sio ,alafu mbaya mtu akiwa nazo mdomoni anaweza kukuambukiza kwenye sehem za siri endapo atakunyonya ,wengi wana genital herpes ila wanahisi ni vipele vya...