Nilichojifunza watu humu wanapenda sana simulizi..ntawaletea yangu siku moja (simulizi ya kweli ya maisha yangu inasisimua sana..ni ya kweli na si ya kubuni)
Naona watu wanapoteza tu muda kubashiri mshahara mpya.. tuusubili mwezi julai tarehe 15 tutajua hali halisi..so tuwe wavumilivu kubashiri ni kupoteza muda
Mwaka wa neema kwa wafanyakazi.mama anaenda kuongeza kima cha chini cha mshahara.baada ya kusota kwa muda mrefu atimaye watumishi wataneemeka kwa kiasi..kongole mama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.