Recent content by Mkereketwa wa NAZI

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ninapitia msongo mkali wa mawazo baada ya kusimamishwa kazi kisa vyeti feki. Naomba ushauri niweze kujikwamua

    Kikubwa usiwqze kujiua bhas mengine yatakaa kwenye mstari
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ulijipata kimaisha ukiwa na miaka mingapi?

    Mi nilijipata nikiwa na miak 21 and now nina 29 so nina nyumba mbili moja iko tabora nyengine Dar kigamboni kule karibu na namiliki gari mbili moja ya biashara nyengine ya kutembelea na biashara zangu ziko kariakoo kilichobaki n kuoa tu ndo sijakamilisha
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mashoga (Kaka Poa) wanavunja ndoa za watu: Dada zetu inabidi mpambanie ndoa zenu

    Me siamin naona kama n propagabda ili mada ionekane ya kawaida kwa hadhira hakuna kitu ka hicho
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nimeshuhudia mtu akiwanga, hili limenitisha

    Mm yakinitokea hayo huwa nakula msuba au bange ya kutosha kuondoa wenge
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nadhani wakati wa mpito huu ni mbaya sana kwangu kiakili

    Mm napitia iyo hali lakini mm huwa kila nikiona demu natamani nimbake yaan sijui nimepatwa na nn kila demu atayepita mbele yangu huwa nataman nimbake sasa nataka niende kwa wana saikolojia wanipe mawazo ikishindikana nikakae porini kabisa hii hali inanitesa sn
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nataka niandae pambano la kushindanisha nguvu kati ya walokole vs waganga, wachawi, na waotumia nguvu za giza

    Sie waganga wa kienyeji msituweke kwenye kundi moja na wachawi sie tunatambuliwa na mungu toka enzi za nabii nuhu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kuishi Kwa kutegemea kuendesha bodaboda

    Ww nakujua umeajiliwa juzi mwalim sasa unaanza kututukana
  8. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kozi gani (ya muda mfupi) nzuri kwenda kujifunza VETA?

    Hapana atleast awe na cheti cha form 4
  9. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mganga wa kienyeji konki

    😆😆😆😆 watu gani tena hao
  10. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Mganga yupo sharti lake kwanza upigwe pipe ndo dawa nyengine ziendelee
  11. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni kujua tofauti kati ya bachelor of sciences with education na bachelor of education in science

    Jamaa nakushaur achana na kusoma we kila siku hujui kitu yaan
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mwanamke mmoja miongoni mwa waathirika wa kashfa ya ngono ajiua kuepuka aibu ya Baltasar Engonga aliyenaswa na Video 400 za ngono na wake wa viongozi

    Jamaa atakuwa na tatizo la kisaikolojia kitaalam linaitwa limenitoka kidogo hali iyo inapelekea kufanya kitu cha hatari chochote bila kuogopa nn kitatokea badae hata wakimuacha hapo ataendelea ingawa hatofanya tena na hao
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Inachukua muda gani kuingiziwa pesa ya mkopo baada ya kuripoti chuoni?

    Kama unakuwa huna jibu la kumpa kijana n kheri ukaushe sio kila hoja uijibu ww n nani
  14. M

    JamiiForums Tanzania Naumia moyo ndugu zangu

    Dah inasikitisha mpk unasubir siku ya kufa ifike ili ufe
Back
Top Bottom