Recent content by Mkenya No 1

  1. M

    Young entrepreneurs in tz

    Jaribuni kutafuta kweli talented entreprenuer, kuna wakati niliona eti January Makamba kaalikwa akawahutubie wajasiriamali kwa kweli nilichoka.
  2. M

    Young entrepreneurs in tz

    Mkuu umeongea ukweli tupu, Watanzania waache show wajikite kwenye uzalishaji, haya mambo ya sijui events hayatawatoa kamwe, ni kweli huwa siku zote nawaona hao wakina Shigongo na jamaa wa Clauds kwamba ndo Wajasiriamali walio fanikiwa, Bongo ni nchi ya wapenda sifa sana.
  3. M

    Young entrepreneurs in tz

    Ukiona hivyo ujue kuna kitu mtu hawezi fanya kaz za bure, Ila ushauri wangu ni kwamba jikiteni kwenye kupiga kazi
  4. M

    Young entrepreneurs in tz

    Mkuu tatizo wajasiriamali hakuna, nchi imejikita kwenye ku import that is why, na sijajua mafanikio yanapimwa vipi, huyo jamaa anakuzwa tu, hana yofauti na wakina Benson wa Arusha ila mbona yeye hapewi promo? Tueleze mchango wa huyo ngowi kwenye uchumi wa nchi, Wabongo mnapotea sana kwa ishu za...
  5. M

    Young entrepreneurs in tz

    Ni kweli unacho sema.
  6. M

    Young entrepreneurs in tz

    Tanzania kuna shida kwenye kudefine mjasiriamali, kuna watu ni wafanya kazi na wana biashara zao. pembeni still wanaitwa wajasiriamali. Huyo Ngowi anafanya uchuuzi wa solar, je mchango wake kwa uchumi wa Nchi ni upi? Tafuteni watu wanao au walio ibadilisha Tanzania, na kama hawapo basi si vibaya...
  7. M

    Kutoka Mahakama Kuu kanda ya Dar: Usikilizwaji wa uamuzi wa pingamizi la Zitto

    kwa sababu walisha zini na mama yako?
  8. M

    msaada wa namna ya kuandika katiba ya kampuni ndugu zangu

    Mtafute Warioba kwa sasa wamemaliza ile ya nchi hivyo anaweza kukusaidia.
  9. M

    Kuku aina ya Kenbro

    This is wonderful kama uko unaweza ku keep Kenbro and dorep the best an leading breeds huku kwetu ni kwa ajabu iko, ni mzuri sana,most of Kenyans wana prefer hawa breeds dorep and kenbro na currently super chicks from KARI an improved indigenous breed na huyu guy yuko na mjanja sana kuweza ku...
  10. M

    Mayai ya Kwale

    Quils ni best sana huku kwetu, tunafuga mwingi sana na watu wako wanapenda sana kula meat ya quils na tuko na permit ya kufuga kutoka KWS. Inaonekana kwa Tz mko na hamuluhusiwi kufuga
Back
Top Bottom