Recent content by mkekawaleo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji passport ya kusafiria

    Mkuu kwema? Nimeona na wewe ulifanyia mchakato Moshi. Passport uliipata baada ya mda gani au ulitumia maarifa yapi kuharakisha mchakato? Immigration Moshi siwaelewi kabisa, nilimaliza kila kitu (picha + fingerprint) toka mwezi wa 6 ila hadi leo passport yangu haijatoka na nina safari tarehe 18.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hii ngoma mpya Zuwena ya Diamond Platnumz amedhihiridha kuwa bado yupo na utamu wake hajaisha kama tunavyodhania

    Na wewe kweli ni tutusa. Ile ilikuwa imagination.... Aliwaza nikienda kuiba pale nitapigwa risasi nitakufa, akaachana na lile wazo.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hii ngoma mpya Zuwena ya Diamond Platnumz amedhihiridha kuwa bado yupo na utamu wake hajaisha kama tunavyodhania

    Kwamba Yatapita na sasa hii Zuwena kaimba utumbo tu? [emoji23] Mkuu jaribu kuficha chuki zako utaitwa mchawi.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nihamie Mlowo, Songwe au Karatu, Arusha? Nisaidieni

    Shukrani mkuu kwa ushauri, nimefurahi kupata mtu ambaye amekaa sehemu zote mbili. Kwa Mlowo ni changamoto zipi nijiandae kukutana nazo nikifika huko?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nihamie Mlowo, Songwe au Karatu, Arusha? Nisaidieni

    Hapo kwenye makazi duni mkuu unaweza ukafafanua kidogo, maana naenda na familia wasije wakanilaumu kwa kuwapeleka sehemu ambayo sio.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nihamie Mlowo, Songwe au Karatu, Arusha? Nisaidieni

    Asante sana chief, Vipi kuhusu changamoto za huko, zipi nitakutananazo nijiandae kuzikabili
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nihamie Mlowo, Songwe au Karatu, Arusha? Nisaidieni

    Vipi kuhusu huduma za kijamii kama maji na umeme, ni vya uhakika?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nihamie Mlowo, Songwe au Karatu, Arusha? Nisaidieni

    Ofisi inataka kunipa transfer, wamenipa nichague kati ya wilayani Mbozi kata ya Mlowo huko Songwe au wilayani Karatu Arusha. Wadau mliowahi pita au ishi hayo maeneo naombeni usaidizi ni wapi pazuri pakuishi na familia.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wana uwezo ila hawanunui mashine za kufulia

    Zipo mpaka za laki mbili na nusu, ni wewe tu na pesa yako.
Back
Top Bottom