watanzania wengi tuna ugonjwa mkubwa sana ambao unatumaliza na utaendelea kutumaliza
kama hatutakua tayari kuuzuia kwa kuutafutia kinga madhubuti,ugonjwa huo sio mwingine bali
ni kukosa huruma,kukosa upendo ,kukosa uchungu na kutodhamini maisha ya mtu mwingine pale unapoona
maishayako yako...