Recent content by Mkata Mtaa

  1. M

    Serikali: Fedha za Maafa ya Tetemeko Kagera zimeelekezwa kwenye Taasisi za Umma

    Tunahitaji ufafanuzi ili tujue ukweli ni upi na uongo ni upi pia ili kuondoa hii ya sintofahamu. Mh raisi kama unasome post za umu au watu wanakosomea wakufishie ujumbe huu mezani kwako ili uufanyie kazi.
  2. M

    Serikali: Fedha za Maafa ya Tetemeko Kagera zimeelekezwa kwenye Taasisi za Umma

    Ngoja tuone mwisho wa hii sinema maana ndio kwa imeanza tu. Hii sarakasi ndio kwanza mbichi kabisa.
  3. M

    Serikali: Fedha za Maafa ya Tetemeko Kagera zimeelekezwa kwenye Taasisi za Umma

    Mpaka sasa ni siku ya 63 baada ya tetemeko Mkoani Kagera. Zaidi ya miezi miwili sasa. Serikali imefanya tathmini tayari, wananchi wachache ambao nyumba zao zimebomoka kabisa wameambulia mifuko mitatu ya saruji tu na paketi za Biskuti na maji ya chupa nk. Michango bado inachangwa mingi tu...
  4. M

    Usikate tamaa kijana, wapo tulioishi maisha magumu sana

    Huyu alipokukuja Dar ina maana ameanza shule moja kwa moja bila kusimama, eg Weka miaka o level 4, weka high school unakwenda 3 maana unaanza july, weka first degree 3, weka masters 3, Ata baada kuwa amemaliza high school au first degree hakuona umuhimu wa wazazi, Kama kweli hakuja haja kuwa...
  5. M

    Raia wa China Achana Noti ya Tsh 1,000, aiita Toilet Paper!, akamatwa na kuachiwa

    Nilifanya utafiti wangu kupitia magazeti ya kampuni mbili tu kwa miezi mitano, nilikuja kugundua raia wa nje wanaongoza kwa kufanya jinai ni hawa chini hizi ni habari zilizoripotiwa tu na vyombo viwili tu 1.Mchina afikishwa kortini kwa kukwepa kulipa kodi mwenye kampuni ya HM Textile Co Ltd...
  6. M

    Wachina watuombe msamaha Waafrika mara moja

    Nilifanya utafiti wangu kupitia magazeti ya kampuni mbili tu kwa miezi mitano, nilikuja kugundua raia wa nje wanaongoza kwa kufanya jinai ni hawa chini hizi ni habari zilizoripotiwa tu na vyombo viwili tu 1.Mchina afikishwa kortini kwa kukwepa kulipa kodi mwenye kampuni ya HM Textile Co Ltd...
  7. M

    Tetesi: Mbowe Hotels na Tanzania Daima kupunguza wafanyakazi na mishahara kushushwa

    Hivi mtu anaajiri watu wote billa kujali itikadi ana kodi za serikali na Mtanzania mzawa mwenzenu, mnafurahia afirisike, ili iweje,?! Mtanzania mwenzenu amethubutu kufanya biashara zaidi ya miaka 20, na kutoa ajira mnafurahia arudi chini? kuwa na itikadi tofauti sio uadui. Nchi hii inakwenda...
  8. M

    Maswali yangu niliyompa mwandishi wa habari amuulize Raisi sikusikia hata moja

    Kuna wahadishi sikuwaona siku ile, sijui walisusa ama walikuwepo walikuwa nyuma na wala sikusikia wanauliza chochote. Mfano. Nevile Meena, Richard Mgamba, Denis Msaki, Absolum Kibanda, A. Ngurumo, Jenerali Ulimwengu, Saed Kubenea, Prudence Karugendo, nk. Hawakuliakwa, walisusa, Muuliza maswali...
  9. M

    Kampuni za simu zapandisha gharama maradufu

    Kifurushi cha Tigo cha Internet ambacho awali kilikuwa kilikuwa kinauzwa sh 5,000 kwa wiki 800MB sasa hakipo, kuna chs sh 8,000 cha 2 GB, ukienda kwenye application unakuta kifurushi kipya cha sh 8,000 tu.
  10. M

    Maswali yangu niliyompa mwandishi wa habari amuulize Raisi sikusikia hata moja

    Hii kwangu ni Lugha ngumu ni lugha ya pili kwangu, nawaza kilugha natakafari kilugha. Na hapo najitahidi sana. Kama BAKITA wenye kiswahili chao barua nyingi wanaandika kwa kingereza itakuwa mimi kukosea andishi moja tu.?! Lakini nafikiri ujumbe umefika kwa walengwa, Nilitaka kuwasilisha nini...
  11. M

    Maswali yangu niliyompa mwandishi wa habari amuulize Raisi sikusikia hata moja

    MIMI KUNA MASWALI YANGU NILIMPA MWANDISHI MMOJA KUMUULIZA RAISI SIKUSIKIA HATA MOJA 1. Pesa nyingi kwenye bajeti zinatengwa kwenye ukandarasi, je kushindanisha wakandarasi wa nje (Waasia) na wazawa wakati watu nje wanapata mikopo ya riba ndogo kutoka kwao amuoni ugumu kwa kampuni za wazawa...
  12. M

    Ni mwezi mmoja na nusu bado wanafanya tathmini ya tetemeko la mkoa wa Kagera

    Mpaka sasa ni siku ya 46 bado serikali Mkoani Kagera inafanya tathmini ya tetemeko la ardhi. Sijui itachukua muda gani mpaka ili zoezi liishe, Michango bado inachangwa lakini hatujui inawafikiaje wananchi wenye uhitaji wa haraka. Kuna ukakasi mwingine ambao unanitia shaka, labda kwa kutoelewa...
  13. M

    Ni siku ya 46 misaada ya tetemeko la Kagera bado figisufigisu tu

    Mpaka sasa ni siku ya 46 bado serikali Mkoani Kagera inafanya tathmini ya tetemeko la ardhi. Sijui itachukua muda gani mpaka ili zoezi liishe, Michango bado inachangwa lakini hatujui inawafikiaje wananchi wenye uhitaji wa haraka. Kuna ukakasi mwingine ambao unanitia shaka, labda kwa kutoelewa...
  14. M

    Chaguzi feki, wafanyakazi, feki, wanafunzi feki, mikopo feki

    Kama tunataka kila mtu afanye kszi halali na apata mshahara halali, basi hatuna budi kuwa na viongozi waliyochaguliwa kwa njia halali, ndio maana kuna uhakiki wa vyeti kwa watumishi wote kuanzia serikalini mpaka kwenye taasisi zake, Kila mtu afanye kazi halali, awe mfanyabiashara, kiongozi au...
  15. M

    TCRA bila kuwa na mkutano wa pamoja na mafundi simu mtafunga wengi

    Wazo wazuri, nyongeza wasajiriwe watambulike, na kama mtu anataka kuflash au kutoa lock yake kwenye simu, unatakiwa uende na kitambulisho kinachotambulika kama Cha Taifa, passport au License ya gari, fundi simu anatoa kopi anabaki nayo, Ikitokea tatizo ni rahisi kukupata uliyeleta hiyo simu...
Back
Top Bottom