No, No, No! This is tooooo muuch. Mimi nilijua vitu maalumu ni kama vile vya walemavu. Hayo makundi mengine maalumu ni yapi? Yaani wote hao wanakwenda Bungeni na kukaa kula pesa za walipa kodi! Kwa orodha hii kweli hiyo SGR, JK waterfall project, vitaisha lini? Yaani, kama kuna sababu ya watu...