harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,897
Viongozi wa dini wapenda haki wengi wanaipenda CHADEMA maana ni chama kinachosimamia haki achana na kile kinacho sema mungu oyeeeee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unapanic? Kuna mtu kasema ni dhambi kwa bagonza kuwa chadema?Kwan dhambi?? Vp marehemu mama lwakatare na gwajima mtafuna kondoo wa bwana?? 2you wao ni halali kuwa ccm??
Hacha kufikilia kizembe we pimbi
Mlamuwa, huyo wao wa phonerotica ndio huyo wa amfifiro (amphiphile) ambaye mabeberu (mbuzi) wamebandua picha?Anatambua mipaka yake hakurupuki kama yule wenyu wa phonerotica
Kweli kabisa jana Mahubiri ya Makanisa karibia yoote ya kikatoliki yalihubiri na kuhamasisha Haki wakati wa uchaguzi.....Viongozi wengi wa dini wanamkubali sana Lissu. Hawataki tu kuweka mabango.
Hilo tabasam sio unaweza kuta askof ana vinasaba vya ush gal maana huo mshikano sioHakika furaha imetoka moyoni. Upendo usiopimika!
View attachment 1576498
Safi mh lissu na askofuHakika furaha imetoka moyoni. Upendo usiopimika!
View attachment 1576498
HADI WATARUDI KWA MUNGU WAO, ILA SUALA LA NDOA ZA JINSIA MOJA KUFUNGWA KANISANI KWA TANZANIA TULISHATUPILIA MBALIII.Hakika furaha imetoka moyoni. Upendo usiopimika!
View attachment 1576498
Aende hadi kwenye kampeni kabisa!
Huyu najulikana ni chadema ila huwa anajificha kwenye dini
Huwezi kufananisha Bagonza na zile takataka zenu mlizozisomba Bariadi,Musoma na Mwanza...kama Kakobe, na Shekhe Alhadi.
😂😂😂Anatambua mipaka yake hakurupuki kama yule wenyu wa phonerotica
M
@mshana Jr daaaaaaaaa umeniuwaaaaaaa
Unapendaga pilau? I mean sio pilau la kushibisha tumbo bali pilau la kushibisha macho...basi huko phonerotica ndio jikoniHili neno la mwisho hatakuelewa.
utakuwa mtabiri mzuri sana huko mbeleniMlamuwa, huyo wao wa phonerotica ndio huyo wa amfifiro (amphiphile) ambaye mabeberu (mbuzi) wamebandua picha?