Mi hakimu si waislamu muungane ashtakiwe!!!??? kilain babaangu we vipi?!! kwanza unajua dini yangu?!!? unanishangaza? anyway kama kilaini anaakuumiza sana kamshtaki utakufa na kijiba cha roho
waache wafungwe tu udini wanini, Home shopping center alipojulikana kuna aliyemuhukumu kwa uislamu wake?? Mwizi mwizi tu haijalishi dini wala kabila, sheria ifuate mkondo wafungwe, lakini wasionewe huruma kwa udini, Anna Tibaijuka huwezi mtetea eti kwa vile sio muislamu, kashiriki kupokea hela...
Wacha ukali, wachana na uzushi huo usio na ushahidi, ni kwanini unauingiza uislam katika hili? Waswahili wanasema lisemwalo lipo kama halipo laja, Islam haihusiki hapa wacha jazba za kidini, mbona waliposhikwa wakwepa kodi hakukua na dai la udini na matajiri waislamu walikuwepo, mpaka BAKWATA...
Wakudadavua, hawa wazee wanaoitwa wanasiasa wanatuchora sana tunavywapigia wayowe ya shangwe, wanajua kila kitu kinavyokwenda, hii nchi ya kwaoaisee, Lowasa kwenda Chadema ulikua upuuzi wa kutupwa na pia Magufuli kwenda kumsalimu sumaye muhimbili ni mchezo mweingine, hii movie haiishi, tutafute...
Faiza habari, Uislam uheshimike tafadhali, kuteteana kisa dini ni hatari, hao kina kitilya na masamaki wameshahukumiwa, kesi inaendelea, hili la dogo ni jipya ngoja tuone kunakuja nini?!
Swali jepesi tu, kodi ya mwezi Machi mwaka huu ni shilingi ngapi? kwanini usimkate ngebe mleta post kwa kumjibu swali lake? mambo ya vyama ya nini hapa? ni haki kujua au sio haki? kama mapato ya meshuka ni kwanini? rahisi unamjibu unaendelea na mambo yako, sio muda wa kulaumiana na kushushuana.
Kuna Hot Mix EATV na Mada Moto Channel Ten na bila kusahau Kipima Joto ITV, hiyo CTV mi naona walejamaa hua wanapiga porojo tu, mbaya zaidi hua wanachambua kwa kujidai great thinkers. Walipo waalika Zari na Diamond ndo nikaona hawa jamaa ni intertainers tu, na bado Lugha (english)...
Ni mbinu mojawapo ya intelijensia imetumika kutuziba masikio tusielewe nini kinaendelea Zanzibar na wala tusikojadili. Rais na 360 cha CTV wapi na wapi?!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.