Recent content by Mkangafu Ngalangala

  1. M

    Ridhiwani Kikwete akana kufanya biashara na Polisi

    Mi hakimu si waislamu muungane ashtakiwe!!!??? kilain babaangu we vipi?!! kwanza unajua dini yangu?!!? unanishangaza? anyway kama kilaini anaakuumiza sana kamshtaki utakufa na kijiba cha roho
  2. M

    Ridhiwani Kikwete akana kufanya biashara na Polisi

    waache wafungwe tu udini wanini, Home shopping center alipojulikana kuna aliyemuhukumu kwa uislamu wake?? Mwizi mwizi tu haijalishi dini wala kabila, sheria ifuate mkondo wafungwe, lakini wasionewe huruma kwa udini, Anna Tibaijuka huwezi mtetea eti kwa vile sio muislamu, kashiriki kupokea hela...
  3. M

    Ridhiwani Kikwete akana kufanya biashara na Polisi

    Wacha ukali, wachana na uzushi huo usio na ushahidi, ni kwanini unauingiza uislam katika hili? Waswahili wanasema lisemwalo lipo kama halipo laja, Islam haihusiki hapa wacha jazba za kidini, mbona waliposhikwa wakwepa kodi hakukua na dai la udini na matajiri waislamu walikuwepo, mpaka BAKWATA...
  4. M

    Hakuna jipya kwenye serikali za mfumo wa KiCCM

    Wakudadavua, hawa wazee wanaoitwa wanasiasa wanatuchora sana tunavywapigia wayowe ya shangwe, wanajua kila kitu kinavyokwenda, hii nchi ya kwaoaisee, Lowasa kwenda Chadema ulikua upuuzi wa kutupwa na pia Magufuli kwenda kumsalimu sumaye muhimbili ni mchezo mweingine, hii movie haiishi, tutafute...
  5. M

    Ridhiwani Kikwete akana kufanya biashara na Polisi

    Faiza habari, Uislam uheshimike tafadhali, kuteteana kisa dini ni hatari, hao kina kitilya na masamaki wameshahukumiwa, kesi inaendelea, hili la dogo ni jipya ngoja tuone kunakuja nini?!
  6. M

    TRA walitarajia Trilion 1.3 kwa mwezi March, kamishina kimya mpaka sasa

    Swali jepesi tu, kodi ya mwezi Machi mwaka huu ni shilingi ngapi? kwanini usimkate ngebe mleta post kwa kumjibu swali lake? mambo ya vyama ya nini hapa? ni haki kujua au sio haki? kama mapato ya meshuka ni kwanini? rahisi unamjibu unaendelea na mambo yako, sio muda wa kulaumiana na kushushuana.
  7. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mpango mzima
  8. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ngapi ngapi jamani
  9. M

    Usiboreke

    tutizamee na umri wao pia!
  10. M

    Rais Magufuli apiga simu Clouds TV na kuwapongeza kwa kipindi cha Clouds 360

    Kuna Hot Mix EATV na Mada Moto Channel Ten na bila kusahau Kipima Joto ITV, hiyo CTV mi naona walejamaa hua wanapiga porojo tu, mbaya zaidi hua wanachambua kwa kujidai great thinkers. Walipo waalika Zari na Diamond ndo nikaona hawa jamaa ni intertainers tu, na bado Lugha (english)...
  11. M

    Rais Magufuli apiga simu Clouds TV na kuwapongeza kwa kipindi cha Clouds 360

    Ni mbinu mojawapo ya intelijensia imetumika kutuziba masikio tusielewe nini kinaendelea Zanzibar na wala tusikojadili. Rais na 360 cha CTV wapi na wapi?!!
Back
Top Bottom