Recent content by Mkandika

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ni siku ipi nzuri kwako ilikuwa na matukio nadra mazuri kwako?

    Mkuu wewe ni noma
  2. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya kauli ya Rais kuzuia kuuza Mazao nje ya Nchi, bei zimeshuka

    Mtalima tuu,si Hamna kazi nyibgine?
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

    Hao wazee watajua kesho,achana nao,chukua mwanamke anayekupenda na amekuzalia mtoto
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

    N Nafukuza wote
  5. M

    JamiiForums Tanzania Serikali inatambua umuhimu wa Bandari ya Dar, haiwezi ikaibinafsisha. Puuzeni upotoshaji

    Wewe utakuwa umehongwa.tuwe wawazi huyu mama anatupeleka pabaya,nchi itauzwa Ndugai alisema mkamletea shida.Time will tell
  6. M

    JamiiForums Tanzania Walimu ni kundi la wanafiki, waoga na wasengenyaji kuliko kada yoyote Ile

    Umeeleweka mwalimu wa mazingira,hongera
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hivi serikali haisikii changamoto za walimu kwenye sekta hiyo?

    Inatia hasira sana,wabunge wakula mamilioni na hakuna kazi wanayoifanya lakini walimu wa watu dah! Ndio maana wakikasirika wanawatia mimba wanafunzi
  8. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali mchukulieni hatua Mhasibu wa Machame Sekondari, anayoyafanya anawachafua, anatembea na wanafunzi

    Ni simple kumkamata,system itumie wanafunzi waaminifu Ili kumtia mtegoni.kwisha.ila atakuwa ameshtuka maana na yeye Yuko jf
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tunaowatoa watoto wetu shule za kiingereza njooni hapa tufarijiane

    Pole sana mkuu,uko sawa na Mimi ila tujipe moyo na tupambane ipo siku yatakuwa sawa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tunaowatoa watoto wetu shule za kiingereza njooni hapa tufarijiane

    Ni sawa lakini usiforce mambo mkuu,utanikuta unaiba saa sita mchana
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri wako ni muhimu sana

    Unataka kumpiga tena?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kujipenyeza Simba na Yanga haikubaliki

    Hizo Hela Bora angewapa wastaafu wanaolia kila siku hawajapewa Hela zao
  13. M

    JamiiForums Tanzania Walimu msipojirekebisha tutawatenga

    Huna jipya wewe.endelea kula mihogo na kupiga porojo jf wakati wenzako wanakula maisha
  14. M

    JamiiForums Tanzania Walimu msipojirekebisha tutawatenga

    Kuna watumishi Wana maisha magumu kuliko walimu,Kwa mfano maaskari,sema walimu wanaonekana mapema Kwa sababu ni kundi kubwa.Halafu hii kazi ni nyepesi,piga chaki waelewe wasielewa watajua wenyewe na serikali Yao,Mimi huyo mtaani fanya udalali,simamia baa yangu n.k.Na Bado nina motivation ya kula...
Back
Top Bottom