Recent content by Mkandika

  1. M

    Nimetoka ukweni Kigoma, ila kama hii ndiyo aina ya wazee acha wabaki na watoto wao!

    Hao wazee watajua kesho,achana nao,chukua mwanamke anayekupenda na amekuzalia mtoto
  2. M

    Serikali inatambua umuhimu wa Bandari ya Dar, haiwezi ikaibinafsisha. Puuzeni upotoshaji

    Wewe utakuwa umehongwa.tuwe wawazi huyu mama anatupeleka pabaya,nchi itauzwa Ndugai alisema mkamletea shida.Time will tell
  3. M

    Hivi serikali haisikii changamoto za walimu kwenye sekta hiyo?

    Inatia hasira sana,wabunge wakula mamilioni na hakuna kazi wanayoifanya lakini walimu wa watu dah! Ndio maana wakikasirika wanawatia mimba wanafunzi
  4. M

    DOKEZO Serikali mchukulieni hatua Mhasibu wa Machame Sekondari, anayoyafanya anawachafua, anatembea na wanafunzi

    Ni simple kumkamata,system itumie wanafunzi waaminifu Ili kumtia mtegoni.kwisha.ila atakuwa ameshtuka maana na yeye Yuko jf
  5. M

    Tunaowatoa watoto wetu shule za kiingereza njooni hapa tufarijiane

    Pole sana mkuu,uko sawa na Mimi ila tujipe moyo na tupambane ipo siku yatakuwa sawa
  6. M

    Tunaowatoa watoto wetu shule za kiingereza njooni hapa tufarijiane

    Ni sawa lakini usiforce mambo mkuu,utanikuta unaiba saa sita mchana
  7. M

    Ushauri wako ni muhimu sana

    Unataka kumpiga tena?
  8. M

    Rais Samia kujipenyeza Simba na Yanga haikubaliki

    Hizo Hela Bora angewapa wastaafu wanaolia kila siku hawajapewa Hela zao
  9. M

    Walimu msipojirekebisha tutawatenga

    Huna jipya wewe.endelea kula mihogo na kupiga porojo jf wakati wenzako wanakula maisha
  10. M

    Walimu msipojirekebisha tutawatenga

    Kuna watumishi Wana maisha magumu kuliko walimu,Kwa mfano maaskari,sema walimu wanaonekana mapema Kwa sababu ni kundi kubwa.Halafu hii kazi ni nyepesi,piga chaki waelewe wasielewa watajua wenyewe na serikali Yao,Mimi huyo mtaani fanya udalali,simamia baa yangu n.k.Na Bado nina motivation ya kula...
Back
Top Bottom