Recent content by mkanda tumboni

  1. M

    Sina cheti cha udereva lakini namiliki leseni

    Kazi ya usukani ni kusaidia kuongoza uelekeo wa gari,kazi ya clutch ni kutenganisha injini na gearbox ili uweze kuingiza gia,kazi ya breki ni kupunguza mwendo na kusimamisha gari.nawewe nipe ushauri kwa swala langu hapo juu
  2. M

    Sina cheti cha udereva lakini namiliki leseni

    Mficha maradhi kifo humuumbua,hata wewe unaweza kuwa ndugu na jamaa yangu.asante kwa ushauri mkuu nikipata majibu nitaomba moods waufute uzi wangu
  3. M

    Sina cheti cha udereva lakini namiliki leseni

    shukrani nitakwenda,ilahata humu naaminini wapo wahusika wa veta
  4. M

    Sina cheti cha udereva lakini namiliki leseni

    sawa asante.haya sogeza shavu nikuchumu
  5. M

    Sina cheti cha udereva lakini namiliki leseni

    chuo kidogo nilichosomea udereva kilifungwa,pia wakat wananipa cheti chao walikosea herufi moja ya jina langu.nataka cheti cha veta
  6. M

    Sina cheti cha udereva lakini namiliki leseni

    Ushauri wenu wandugu leseni yangu ni class C1,C2,C3 sina C plain kwa ajili ya mabasi ya abilia60 na zaidi.nilianza na Class D baada ya miaka mi3 ndio nikapata class C. NATAKA NIKASOME DRIVING VETA NIPATE CHETI haitakua tatizo?gari zote naendesha vizuri
  7. M

    Nahitaji mbao za kupaulia nyumba

    nataka kujua gharama ya mbao 100 za kupaulia nyumba.na gharama ya kuzisafirisha kutoka mafinga hadi kibaha.
  8. M

    Watanzania mliopo South Africa na Marekani

    kabisa mkuu itafahamika huko huko
  9. M

    Watanzania mliopo South Africa na Marekani

    Mbona povu mkuu hebu soma ulichokiandika na uelewe shida yangu ni kuondoka hapa tz.
  10. M

    Watanzania mliopo South Africa na Marekani

    watanzania ndivo tulivo mimi npo serious watu wanachukulia poa
  11. M

    Watanzania mliopo South Africa na Marekani

    me ntavumilia ivo ivo mkuu swala tu nipate chance.pia bongo sina cha kupoteza hata nikifia huko sawa
  12. M

    Watanzania mliopo South Africa na Marekani

    mi nikipata chance ntakomaa hivo hivo bora kufia hukohuko ila sio kunyauka hapa tz
  13. M

    Watanzania mliopo South Africa na Marekani

    nipo TANZANIA mkuu.nimechoka na life la bongo sina cha kupoteza hapa
Back
Top Bottom