Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira amewataka viongozi na makada wa chama hicho kuachana na vinyongo na hasira iliyosababishwa na uchaguzi mkuu uliopita na badala yake waunganishe nguvu katika kuijenga nchi.
Wasira amesisitiza kuwa viongozi wanaoomba kuchaguliwa katika nyadhifa za...
Kuna tabia inayozidi kujitokeza na kukua siku hadi siku katika jamii—wananchi kuonyesha kufurahia vifo vya baadhi ya viongozi au wanasiasa. Ukichunguza kwa kina, hali hii inachangiwa kwa kiasi kikubwa na mwenendo wa baadhi ya viongozi kuishi maisha yasiyo rafiki kwa wananchi wanaowaongoza.
Pale...
Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Odero Charles Odero anadai kwamba hadi sasa hakuna kikao chochote rasmi kilichofanyika ndani ya chama hicho ambacho kimeazimia kwamba chama hicho hakitashiriki maridhiano yanayotarajiwa kufanyika hapa nchini siku za usoni,
Soma Pia:
Odero...
Maafisa wa usalama wanaomlinda Mke wa Rais wa Rwanda, Jeannette Kagame, na wale wa Mke wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Denise Nyakeru Tshisekedi, walihusika katika mzozo mkali kwenye hoteli moja mjini New York.
Tukio hilo lilitokea wakati viongozi hao wawili walipokuwa nchini...
Msemaji huyo, Ziv Agmon, alikanusha kuwa kauli zake zilikuwa za kibaguzi, akizitaja kuwa “za kipuuzi,” akidai kuwa yeye mwenyewe ana asili ya Morocco, hivyo hawezi kuwa mbaguzi dhidi ya Wamoroko.
Hata hivyo, alitangaza kujiuzulu katika taarifa iliyochapishwa Jumatano jioni, baada ya mwanahabari...
“Walijaribu kuwafanya mababu zetu kuwa kama vitu, lakini sisi tunajua, na tunapaswa kuthibitisha leo kwamba mababu zetu hawakuwa vitu.”
Mabaki ya Waafrika kadhaa, ambao miili yao ilifukuliwa na kupelekwa Ulaya kwa ajili ya tafiti za kisayansi kati ya mwaka 1868 na 1924, yalizikwa upya nchini...
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amesema kuwa marehemu William Lukuvi alikuwa na moyo wa kujituma na kujitoa kikamilifu katika kazi, akibainisha kuwa hadi jana alikuwa ofisini licha ya kujisikia vibaya na kwenda hospitali kisha kurejea kazini kuendelea na majukumu yake.
Soma Pia: Waziri...
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, ameeleza kuwa mwenendo wa shauri la maombi ya marejeo ya mwenendo wa kesi ya mgawanyo wa mali za chama umeendelea kufichua ukweli kuhusu tafsiri sahihi ya amri ya zuio lililotolewa Juni 10, 2025.
Akizungumza mara baada ya...
Kufuatia kuripotiwa kwa matukio ya kuuawa na kuporwa kwa pikipiki za maafisa usafirishaji (bodaboda) mkoani Tabora, Umoja wa Maafisa hao (UMUTA) mkoani humo umelaani vitendo hivyo huku wakiviomba vyombo vya ulinzi na usalama kuchukua hatua madhubuti kudhibiti hali hiyo.
Akizungumza na waandishi...
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dkt. Rugemeleza Nshala, akizungumza kwa niaba ya Jopo la Mawakili wa Chama hicho amesema kuwa Mahakama ya Rufaa imesikiliza na kupokea hoja zote za maombi ya marejeo ya mwenendo wa kesi ya mgawanyo wa mali za chama hicho, kesi...
Akitoa tathmini yake kuhusu hali ya utawala wa sheria nchini kupitia kipindi cha Jambo Asubuhi kinachorushwa na Jambo TV, Wakili Edson Kilatu ameeleza kuwa hali ya utawala wa sheria nchini Tanzania kwa sasa inasuasua.
Soma Pia: Wakili Kilatu atilia shaka uhuru wa tume ya ya haki za binadamu...
Wakati akizungumza katika Baraza la IDD EL-FITRI lilifanyika Jiji Dar es Salaam Marchi 21, 2025 Rais Samia amesema hali baadhi ya mataifa kumekuwa na migogoro na mivutano ila Tanzania emeendelea kuwa amani na utulivu, licha si watu wote wanatamani kuiona Tanzania katika hali ya Amani, Utulivu...
Mchezo wa Ligi Kuu wa NBC wenyeji Mtibwa Sugar wanacheza na Yanga SC uwanja wa Jamuhuri Dodoma
DAkika 51, Yanga anaogoza goli moja, goli lilofungwa na Pacome
Mechi imemalizika
Ukisikia kila kazi inachangamoto yake ndio hii, na moja ya watu wanakutana na changamoto ni Waandishi wa Habari.
===========
Waandishi habari wakati mwingine hujikuta katika mazingira hatari wakati wakikuletea habari. Ripota wa televisheni ya Urusi ya RT na mpiga picha wake walinusurika...
Waislamu nchini na duniani kote kesho wataadhimisha Sikukuu ya Eid El-Fitri, huku Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) likisema Rais, Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi katika Baraza la Eid litakalofanyika kitaifa jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa awali na Katibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.