Recent content by Mkalukungone Mwamba

  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe: Mimi nilijua Simba haiwezi kumsajili X factor siku ya mwisho ya dirisha la usajili

    Mimi nilijua Simba haiwezi kuwa na mchezaji wa X factor siku ya mwisho ya dirisha la usajili, intelijensia yangu iliniambia hawawezi kusajili mchezaji ambaye anaweza kutikisa. Kwa hiyo ili kuwatia hasira mashabiki wao mimi nikapita na hiyo X factor nikaileta kwetu, mashabiki wetu wanafurahi...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe: Utambulisho wa Aziz Ki kufika saa 7 mchana watu walijaa wakaanza kusukuma mageti

    Siku ya utambulisho ilipofika saa 7 mchana uwanja ulikuwa umejaa, watu nje wanasukuma mageti wanataka kuingia ndani! Wengine wakabaki nje hadi barabarani. Tiketi za vishina ambazo tulikuwa tunazitumia siku hiyo ziliisha ikabidi tuuze hadi vishina na vyenyewe vikaisha! Uwanjani watu walikaa...
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jumuiya ya Kifalme ya Afrika yapongeza Tanzania kwa kuwashirikisha Majaji wa Afrika kwenye tume ya uchunguzi wa Kijinai matukio ya 29 Oktoba, 2025

    Jumuiya ya Kifalme ya Afrika imepongeza uamuzi wa Serikali ya Tanzania wa kuwashirikisha wataalamu wa sheria na majaji kutoka nchi nyingine za Afrika katika Tume ya Uchunguzi wa Kijinai inayochunguza matukio ya vurugu na uhalifu yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Tuhuma zinazomkabili John Heche, wenyeviti 15 wa CHADEMA Morogoro wasusia kikao cha mkoa

    Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Morogoro, Barnabas Okola, amesema kikao cha wenyeviti wa mikoa kilichofanyika Agosti 13 kilitarajiwa kuhudhuriwa na viongozi 30, lakini waliohudhuria walikuwa 15. Amesema katika kikao hicho baadhi ya wenyeviti waliibua hoja kuhusu tuhuma za Makamu Mwenyekiti, John...
  5. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Bilionea Patrice Motsepe Apata Nafuu Nyingine Mahakamani Katika Mgogoro wa Dola Milioni 195 wa Mradi wa Graphite Tanzania

    Bilionea wa Afrika Kusini, Patrice Motsepe, amepata nafuu nyingine ya kisheria katika mgogoro wa muda mrefu unaohusu uchimbaji wa graphite nchini Tanzania, ambapo kampuni ya Marekani, Pula Group, inadai fidia ya dola milioni 195. Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta kwa sasa madai hayo ya fidia...
  6. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Tunalitaka jeshi la polisi limuachie huru Wakili Madeleka

    Chama cha ACT Wazalendo kinakemea vikali kukamatwa kwa Wakili Peter Madeleka jioni ya jana Agosti 14, 2026, nje ya Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi akiwa anatekeleza majukumu yake. Polisi wamemkamata kwa kile wanachodai kudharau amri ya Mahakama Kuu. Kukamatwa kwa...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Aziz Ki ni Mwananchi Yanga SC kwa mara nyingine tena. Nyumbani kumezidi kunoga sana

    Kiungo mshambuliaji wa Burkina Faso, Stephane Aziz Ki, amerejea tena katika Klabu ya Yanga SC baada ya kuacha alama kubwa katika kipindi chake cha awali ndani ya timu hiyo. Aziz Ki aliitumikia Yanga SC kwa misimu miwili, akifanikiwa kutwaa tuzo mbalimbali ikiwemo Mfungaji Bora wa Ligi Kuu...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Nashangaa kuona watu wanakamatwa na polisi, wanapelekwa mahakamani kwa shitaka ya ugaidi

    Waziri Mkuu na Jaji mstaafu, Joseph Sinde Warioba, ameelezea kushangazwa na kuumizwa na wimbi jipya la ukamataji wa raia, wakiwemo wasomi, ambao wengine hufunguliwa mashtaka ya ugaidi mara tu wanapopata dhamana katika makosa ya awali. Akizungumza katika mahojiano maalumu na tovuti ya The...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila: Amjibu Heche "Uongozi wa nchi sio uji kwamba kila mtu anataka apewa kuonja"

    Mbunge wa Jimbo la Ubungo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amemjibu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, akisisitiza kuwa uongozi wa nchi unahitaji mipango na kura za wananchi badala ya maombi ya ‘kupewa’ nchi ili kuijaribu. Akizungumza leo...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania FT: Namungo FC 1-3 Yanga SC | Ligi Kuu | Majaliwa Stadium | 15 Agosti, 2026 | Wenye Pesa Mfuko wa Shati hawataki utani

    Mabingwa watetezi, Yanga wameichapa 3-1 timu ya Namungo kwenye uwanja wao nyumbani. Yanga imeanza ligi kuu kwa mguu mzuri baada ya kushinda mechi yao ya kwanza wakiwa ugenini na kuvuna alama 3 muhimu. Yanga SC imeanza kampeni yake ya Ligi Kuu ya NBC kwa ushindi, ikiondoka na alama tatu muhimu...
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania UVCCM Dar: TFF wanapaswa kumfuatilia kwa umakini sana John Heche kwa kauli zake kuhusu mpira wetu na wamhoji

    Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam, kupitia Mwenyekiti wao Nasra Mohamed Ramadhani umeitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kumfuatilia kwa umakini Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, kutokana na kauli zake kuhusu masuala ya mpira wa miguu nchini. Kazi kubwa...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Leonard Thadeo, ajiuzulu nafasi ya Urais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania

    Ukisikia amebana ameachia ndiyo hii sasa ya huyu mzee. Mzee wangu Anthony Mtaka unamaombi makali sanaa ========= Aliyeshinda nafasi ya Urais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania(TOC) tarehe 05/7/2026 ndugu Leonard Thadeo, amejiuzulu nafasi hiyo kwa kile alichokisema kuwa uchaguzi huo uligubikwa na...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Katibu UDASA: Dkt. Kaijage aliniambia Mkipata nafasi msaidieni mke wangu

    Katibu Mkuu wa UDASA, Dk. Dominicus Makukula, amesema wakati alipomtembelea Dk. Melikisedeki Kaijage, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) anayekabiliwa na kesi ya ugaidi, alitoa ujumbe mmoja muhimu. Kwa mujibu wa Dk. Makukula, Dk. Kaijage alisema: “Mkipata nafasi, msaidieni mke wangu.”...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Malisa: Wakili Madeleka amekamatwa na watu waliojitambulisha ni polisi

    Kwa madai ya Malisa aliyochapisha katika mtandao wa Istagram amesema Wakili Peter Madeleka amekamatwa muda huu na watu waliojitambulisha kuwa ni Polisi akiwa katika Mahakama ya uhujumu uchumi (maarufu kama Mahakama ya Mafisadi) Mikocheni, jijini Dar. Watu hao hawajaeleza sababu ya kumkamata na...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe: Kesho tunamtambulisha Wata Pleya wetu Uwanja wa KMC ambaye hapatikani kwa michango ya mashabiki

    Kesho Yanga watamtambulisha mchezaji wao mpya katika dimba la KMC na wanachama na Mashabiki wa Yanga watapata nafasi ya kwenda kumona na kupiga naye picha kwa Shilingi 2000 tu Hakika huu ni moja ya ubunifu mkubwa sana kwa Yanga Hongera kitengo cha Habari na mawasiliano cha Yanga kikiongozwa na...
Back
Top Bottom