Recent content by Mkalukungone Mwamba

  1. Mkalukungone Mwamba

    Wasira: Uchaguzi ni gharama na gharama yake nyingine ni hasira tu, ukishindwa unakasirika sana

    Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira amewataka viongozi na makada wa chama hicho kuachana na vinyongo na hasira iliyosababishwa na uchaguzi mkuu uliopita na badala yake waunganishe nguvu katika kuijenga nchi. Wasira amesisitiza kuwa viongozi wanaoomba kuchaguliwa katika nyadhifa za...
  2. Mkalukungone Mwamba

    Viongozi na wanasiasa ishini vizuri na raia, kuna kifo na ukifa ukiwa na ubaya na raia basi watafurahia kifo chako

    Kuna tabia inayozidi kujitokeza na kukua siku hadi siku katika jamii—wananchi kuonyesha kufurahia vifo vya baadhi ya viongozi au wanasiasa. Ukichunguza kwa kina, hali hii inachangiwa kwa kiasi kikubwa na mwenendo wa baadhi ya viongozi kuishi maisha yasiyo rafiki kwa wananchi wanaowaongoza. Pale...
  3. Mkalukungone Mwamba

    Odero: Hakuna kikao cha CHADEMA kilichoazimia kukataa Maridhiano

    Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA ) Odero Charles Odero anadai kwamba hadi sasa hakuna kikao chochote rasmi kilichofanyika ndani ya chama hicho ambacho kimeazimia kwamba chama hicho hakitashiriki maridhiano yanayotarajiwa kufanyika hapa nchini siku za usoni, Soma Pia: Odero...
  4. Mkalukungone Mwamba

    Walinzi wa Wake wa Marais wa Rwanda na DRC Wazozana Katika Hoteli nchini Marekani

    Maafisa wa usalama wanaomlinda Mke wa Rais wa Rwanda, Jeannette Kagame, na wale wa Mke wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Denise Nyakeru Tshisekedi, walihusika katika mzozo mkali kwenye hoteli moja mjini New York. Tukio hilo lilitokea wakati viongozi hao wawili walipokuwa nchini...
  5. Mkalukungone Mwamba

    Msemaji wa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amejiuzulu kufuatia kuvuja kwa kauli za kibaguzi alizowahi kutoa

    Msemaji huyo, Ziv Agmon, alikanusha kuwa kauli zake zilikuwa za kibaguzi, akizitaja kuwa “za kipuuzi,” akidai kuwa yeye mwenyewe ana asili ya Morocco, hivyo hawezi kuwa mbaguzi dhidi ya Wamoroko. Hata hivyo, alitangaza kujiuzulu katika taarifa iliyochapishwa Jumatano jioni, baada ya mwanahabari...
  6. Mkalukungone Mwamba

    Miili ya Waafrika iliyoibiwa na kupelekwa Ulaya kwa ajili ya utafiti imerejeshwa nyumbani kwa ajili ya maziko upya

    “Walijaribu kuwafanya mababu zetu kuwa kama vitu, lakini sisi tunajua, na tunapaswa kuthibitisha leo kwamba mababu zetu hawakuwa vitu.” Mabaki ya Waafrika kadhaa, ambao miili yao ilifukuliwa na kupelekwa Ulaya kwa ajili ya tafiti za kisayansi kati ya mwaka 1868 na 1924, yalizikwa upya nchini...
  7. Mkalukungone Mwamba

    Chongolo: Jana Lukuvi alienda hospitali, kisha akarudi kazini

    Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amesema kuwa marehemu William Lukuvi alikuwa na moyo wa kujituma na kujitoa kikamilifu katika kazi, akibainisha kuwa hadi jana alikuwa ofisini licha ya kujisikia vibaya na kwenda hospitali kisha kurejea kazini kuendelea na majukumu yake. Soma Pia: Waziri...
  8. Mkalukungone Mwamba

    Mnyika: Wana CHADEMA endeleeni na shughuli za siasa

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, ameeleza kuwa mwenendo wa shauri la maombi ya marejeo ya mwenendo wa kesi ya mgawanyo wa mali za chama umeendelea kufichua ukweli kuhusu tafsiri sahihi ya amri ya zuio lililotolewa Juni 10, 2025. Akizungumza mara baada ya...
  9. Mkalukungone Mwamba

    Bodaboda Tabora tunaishi kwa wasiwasi na hofu ya kuuwawa

    Kufuatia kuripotiwa kwa matukio ya kuuawa na kuporwa kwa pikipiki za maafisa usafirishaji (bodaboda) mkoani Tabora, Umoja wa Maafisa hao (UMUTA) mkoani humo umelaani vitendo hivyo huku wakiviomba vyombo vya ulinzi na usalama kuchukua hatua madhubuti kudhibiti hali hiyo. Akizungumza na waandishi...
  10. Mkalukungone Mwamba

    Dkt. Nshala: Afunguka yaliojili kwenye kesi ya mgawanyo wa mali wa CHADEMA

    Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dkt. Rugemeleza Nshala, akizungumza kwa niaba ya Jopo la Mawakili wa Chama hicho amesema kuwa Mahakama ya Rufaa imesikiliza na kupokea hoja zote za maombi ya marejeo ya mwenendo wa kesi ya mgawanyo wa mali za chama hicho, kesi...
  11. Mkalukungone Mwamba

    Wakili Kilatu: Ukamataji unaofanyika sasa ni kama utekaji

    Akitoa tathmini yake kuhusu hali ya utawala wa sheria nchini kupitia kipindi cha Jambo Asubuhi kinachorushwa na Jambo TV, Wakili Edson Kilatu ameeleza kuwa hali ya utawala wa sheria nchini Tanzania kwa sasa inasuasua. Soma Pia: Wakili Kilatu atilia shaka uhuru wa tume ya ya haki za binadamu...
  12. Mkalukungone Mwamba

    Samia: Si kila mtu anatamani kutuona katika hali ya Amani, umoja na utulivu katika Nchi yetu, Tuzidishe mshikamano na upendo

    Wakati akizungumza katika Baraza la IDD EL-FITRI lilifanyika Jiji Dar es Salaam Marchi 21, 2025 Rais Samia amesema hali baadhi ya mataifa kumekuwa na migogoro na mivutano ila Tanzania emeendelea kuwa amani na utulivu, licha si watu wote wanatamani kuiona Tanzania katika hali ya Amani, Utulivu...
  13. Mkalukungone Mwamba

    Full Time| Mtibwa Sugar 1 -1 Yanga SC | Ligi kuu NBC | Jamuhuri stadium | Machi 21, 2025

    Mchezo wa Ligi Kuu wa NBC wenyeji Mtibwa Sugar wanacheza na Yanga SC uwanja wa Jamuhuri Dodoma DAkika 51, Yanga anaogoza goli moja, goli lilofungwa na Pacome Mechi imemalizika
  14. Mkalukungone Mwamba

    Ripota wa televisheni ya Urusi ya RT na mpiga picha wake walinusurika chupuchupu baada ya kombora la Israel kuanguka karibu yao

    Ukisikia kila kazi inachangamoto yake ndio hii, na moja ya watu wanakutana na changamoto ni Waandishi wa Habari. =========== Waandishi habari wakati mwingine hujikuta katika mazingira hatari wakati wakikuletea habari. Ripota wa televisheni ya Urusi ya RT na mpiga picha wake walinusurika...
  15. Mkalukungone Mwamba

    Rais Samia kuwa mgeni rasmi Baraza la Eid Machi 21, 2026

    Waislamu nchini na duniani kote kesho wataadhimisha Sikukuu ya Eid El-Fitri, huku Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) likisema Rais, Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi katika Baraza la Eid litakalofanyika kitaifa jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa awali na Katibu...
Back
Top Bottom