Waziri wa muungano januari makamba. Kama huyu ndio alifanya kazi kubwa ya kutangaza matokeo kabla ya tume kwa ushirikiano na kile kitengo maalum unategemea angelipwa fadhila gani??
Taifa stars Ina nafasi kubwa sana ya kushiriki kombe la dunia kwani yule mtaalam wa kufunga magoli ya mkono bila ya kuonekana ameteuliwa kua Waziri wa michezo. Sasa washindwe wao tu.!
Magufuli anadhani kwa mtazamo wake amezi short list wizara ili kubana matumizi tu lakini akajisahau kwenye umakini wa kutafuta watu ambao angalau wananchi kwa asilimia kubwa watakua na imani nao lakini kama kawaida ya ccm kwanza ulipe fadhila. Kwa mameneja kampein bwana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.