Jigsaw
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,823
- 684
Wakisusia uchaguzi maana yake uchumi wa visiwani utayumba sana. Kutakuwa na ugumu kwa CCM kukusanya kodi na kuleta maendeleo kwa baadhi ya majimbo yenye upinzani mkubwa. Achilia mbali hilo lakini lililo baya zaidi kuta zuka vitongoji kama vile vya Soweto SA. Hili litakuwa baya zaidi kwa shughuli za utalii ambao unaliingizia taifa fedha nyingi. Wageni wataanza kuvamiwa hovyo hovyo na matukio ya kushtukiza ya hapa na pale. Msifanye mchezo ndugu zangu. Maana naona kuna watu wana comment hii post kama vile ni post ya mchezo.