Recent content by mkalimani4

  1. mkalimani4

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Tunaomba mtuwekee radio za kibongo, hiyo tbc fm pekee haitoshi.
  2. mkalimani4

    TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

    Picha ni mbovu sana badilisheni ziwe za hd waigeni TV E na Clouds tv picha zao zinang'aa, kuacha kuegemea upande mmoja wa chama cha siasa kwa sasa waachieni ch. 10 wafanye kazi hiyo, vipindi ni vibovu sana wengi wetu tunapendelea movie na michezo mbalimbali rejea kipindi cha Jumba la Dhahabu...
  3. mkalimani4

    TCRA mmekubali Continental kuendelea kutuumiza?

    Hujakosea kabisa, hawa na Ting hawafai kabisa. Hawaoni shida wakati wowote kuwa offline.
  4. mkalimani4

    TCRA mmekubali Continental kuendelea kutuumiza?

    Napenda kwanza niwape hongera kwa kazi nzuri mnayoifanya hasa ya kuwapa habari wananchi kuhusu haki zao za kupata habari. Nakumbuka mwaka juzi mlitangaza kuwa Channel za ITV, EATV,TBC, CLOUDS n.k zinatakiwa kuonyeshwa bure na King'amuzi cha Continental hata kama mteja hajajiunga na kifurushi...
  5. mkalimani4

    TCRA mpo likizo kwa Continental?

    Walikuwa wamezifungia lakini jana wameziachia kwa sisi tunaotumia dish.
  6. mkalimani4

    TCRA mpo likizo kwa Continental?

    Mpaka leo hii Mamlaka zinazohusika zipo kimya kabisa.
  7. mkalimani4

    TCRA mpo likizo kwa Continental?

    Ni takribani imepita miezi mitatu tangu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilipoagiza Wamiliki wa Ving'amuzi; Continental, Ting, Digitek na Star times waonyeshe Channel za nyumbani hata kama wateja wao hawajalipia malipo ya kila mwezi. Agizo hilo lilifuatwa kwa muda mfupi tu na kwa sasa...
  8. mkalimani4

    Tundu Antipas Lissu hujaanza leo kulichafua taifa hili

    Ili kuzuia Taifa lisipakwe matope hatuna budi kujibu hoja zake alizozitoa badala ya kuanzisha hoja mpya. Kuna watu mnashindwa kumsaidia Rais badala ya kujibu hoja zinazotuhumiwa nyie mnaanzisha hoja nyingine. Kama hoja zake hazitajibiwa zinaweza kusababisha kuongezeka chuki kwa serikali. Maoni...
  9. mkalimani4

    Dk. Shein ataka usawa mambo ya Muungano

    Mbona jengo hilo limetumia gharama kubwa wakati wale waliojenga hostel za Udsm walitumia pesa kidogo na wamejenga maghorofa mengi tu.!
  10. mkalimani4

    Msaada kuhusu timing ya kumpa ujauzito mwanamke

    Kuanzia siku ya kumi na moja hadi kumi na saba apige mzigo au aniite nije nimsaidie.
  11. mkalimani4

    King'amuzi cha Continental matatizoni

    Hatimaye wamesalimu Amri ya TCRA. Nimeahirisha kuwafungulia mashitaka.
  12. mkalimani4

    King'amuzi cha Continental matatizoni

    Ting ndio wametii Agizo la TCRA, hao Continental bado wajuaji na mbaya zaidi kwa sasa channel zao hazina signal.
  13. mkalimani4

    King'amuzi cha Continental matatizoni

    Nina miaka miwili nimekuwa nikitumia King'amuzi cha Continental ambacho mmiliki wake ni mkazi wa Jiji la Mwanza. Nilikipenda king'amuzi hicho kwa kipindi hicho kutokana na kuvutiwa na matangazo yao kuwa hakina malipo ya kila mwezi. Baada ya muda mfupi King'amuzi hicho kikabadilika na kuwa...
  14. mkalimani4

    Kwanini shirika la TBC lisianzishe channel ya wild animals?

    Wazo lako linatakiwa liungwe mkono kwa asilimia mia moja. Lakini hii TBC wamelala sana. Wazo hili linaweza likachukuliwa na mashirika binafsi kama vile IPP MEDIA, SAHARA MEDIA N.K
  15. mkalimani4

    Halotel mmeanza kupuyanga sasa!

    Hawafai kabisa, nahisi hata bunde za internet wanatuibia. Hazichukui muda tayari zimekwisha tofauti na zamani.
Back
Top Bottom