Kuna jamaa mmoja alkuwa akhishi maisha magumu baada ya kuhangaika kutafuta maisha kwa mda mrefu bila mafanikio ndipo jamaa huyu alipopata wazo la kujiua ili mradi aepukana na maisha magumu alyokuwa akiishi.baada ya kupata wazo hlo ndipo jamaa alipoamua kupanda juu ya gorofa kwa nia ya kujiua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.