Iko Njia panda ya Kunduchi mtaa wa Kilkongawima. Ina vyumba vinne vya kulala viwili ni self contain. Ina fensi chumba cha TV jiko kubwa na stoo. Sebule chumba cha kulia. Kwa mawasiliano. Piga 0715/0754 045596 au 0754 892174 email macha.elly@gmail.com
Ni kweli Mungu anasamehe lakini unapomueleza binadamu mwenzio ubaya huu
unategemea nini................????????????
Padri amekaa katika ki-box cha kuungamisha, kanisani hakuna mtu. Mara muumini mmoja akaingia, akapiga magoti upande wa pili na kufanya ishara ya msalaba akaanza kuungama.
"padri...
Mimi nadhani kuunda tume huru inawezekana kabisa hata kama CCM hawataki. kinachitakiwa ni kwa vichwa makini vilivyoingia mjengoni mwaka huu kuanzisha move ya kuwa na tume huru na pia kufanya marekebisho ya katiba. Utaratibu uwekwe ili mwenyekiti na wakurugenzi wa tume wasichaguliwe na raisi bali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.