Recent content by Mkadinali original

  1. Mkadinali original

    Biashara ya Bodaboda

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  2. Mkadinali original

    Tetesi: Uzi maalumu wa tetesi mbalimbali za usajili kuelekea msimu mpya wa ligi 2023/24

    Simba wana nia ya kumsajili kiungo chuma wa st gorge ya ethiopia
  3. Mkadinali original

    Asante sana Fistoni Kalala Mayele kwa goli lako bora la siku. Wanayanga hatuna cha kukudai

    Kutoka kwenye kuwania kombe mpka kombe la ufungaji bora na goli bora
  4. Mkadinali original

    Naombeni msaada kuhusu mikopo ya halmashauri kwa vijana

    Wakuu humu JF ningependa hufahamu zaidi kuhusu hii kitu 1. Vigezo vya kupata mkopo 2. Naskia inabidi iwe kwenye kundi, je ni kundi la watu wangapi? 3. Je ni mkopo kiasi gani huwa wanatoa? Naombeni mnisaidie wakuu
  5. Mkadinali original

    Mechi kati ya Al ahly Vs Raja na CR Beouilzdad Vs Mamelody

    Adi apo tu ishaonesha nani anaenda nusu wote walioshinda amna ane weza kupindua meza
  6. Mkadinali original

    Simba Bora ilifika robo fainali lakini Simba mbovu itafika nusu fainali

    Simba inamtoa wydad inakutana na esperance anachukua chake fainali tunakutana na mamelodi anabena kombe simba inaondoka na medali
  7. Mkadinali original

    Simba msijifiche kwenye kichaka cha kumfunga Whydad kwa Mkapa

    Ungekua una fuatilia mpira ungejua kuandika wydad
  8. Mkadinali original

    Bruno Gomes ni zaidi ya Chama

    Labda chama cha siasa
Back
Top Bottom