Recent content by Mjuni B

  1. Mjuni B

    Masikini Manji, hii ndio Bongo!

    Binafisi nampongeza Rais Magufuli kwa haya anayo fanya toka ameingia Madalakani yuko sahihi kabisa. lazima kuwe na utofauti kati Selikali na matajili Matajili ukiwaacha wakaota mapembe nchi itayumba,hivi sasa ndio tumepata Baba wa Taifa kwa mala nyingine.Wenye Akili timamu tunajuwa anachokifanya...
  2. Mjuni B

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha Azomewa na Wananchi Karatu

    Siku za kutumbuliwa zina wadia
  3. Mjuni B

    Msichana anatafutwa amepotea

    Tangazo halijakaa sawa,pia angetangaza pia Magruop ya whatsapp
  4. Mjuni B

    Rais Sikiliza Ushauri Uamuzi ni wa Kwako

    Kasi ya jpm watanzania tulikuwa tumeanza kumkubali maana tulijuwa ni mtetezi wa kweli wa wanyonge.kumbe anatuludisha kulekule tuliko toka.
  5. Mjuni B

    Prof. Lipumba: Nataka kurudi uongozini kuiondoa CCM 2020

    Hilo ni pandikizi wala Msipate taabu sana
  6. Mjuni B

    Rais akikosolewa ndani ya chama "anawapoteza",nje ya chama "anawashughulikia"bila huruma,serikalini

    _Kwa hali ya Nchi ilipo kuwa imefikia Mwaacheni Rais magufuli afanye kazi.Mhimu asipendelee upande mmoja_
  7. Mjuni B

    Nawatakia jumapili njema

Back
Top Bottom