Nina mdogo wangu amemaliza kidato cha 4 mwaka 2012 ana D zote na C mbili ya kiswahili na Civics yaani div 4:26 je anaweza kusoma nn kipindi hiki? Masomo ya sayansi Phys, Chem, Bios na Maths yote Ana D
Nauliza naweza kupata Chuo kinachotoa certificate au diploma kwa sasa au mpaka nisubiri mwakani? Nijibuni wapendwa nataka nimpeleke Dogo maana naona kakaa tu. Ana D flat za kidato cha 4
Starter 60000/=
Shockup @ 40000/=
Site mirror ya kushoto 30000/=
Seat belt 20000/=
Engine sample 40000/=
Vyote ni used
Vinapatikana gongolamboto
Mawasiliano: 0625561339
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.