Nipo Lyamungo sinde, Machame hapa kituoni, Mtifuano ni F. A. Mbowe na Saasicha Mafue. Nafikiri mtifuna huu mpaka saa 6 mchana utakuwa umefahamika muelekeo wake.
Kwani ikifika tarehe 2/11 ni sawa tuu tutaendelea na shuguli zetu kama kawaida. Faida ya kueneza uwongo na kutumika na gasho wetu kina Ámsterdam .
Tahadhari ni lazima, yote katika kutafuta usalama wa nchi yetu. Hakuna linalo haribika kwani mitandao ndio nini? Ipo tuu hata baada ya uchaguzi.
Wakati wa kupiga kura ni vyama vinakwenda kuchukua dola, kwa hali hiyo tegemea kila liwezekanalo litafanywa. Ni sawa tuu unapoenda kutafuta chakula kwa familia yako, kama utakuta kazi ya kubeba nazi, sawa tuu, kazi ya kubeba ndizi sawa tuu.
Hapa inatafutwa dola, mazungumzo ijumaa.
Mwanakulitafuta, mwanakulipata, piga hao kama paka mwizi, ijumaa saa 7 mchana ndio tutaanza kuzungumza lugha ambayo tutaelewana.
Sirro amekwisha sema tii sheria bila shuruti. Wanakulitafuta msiwasikilize deko hao.
Piga wachakae, sisi tuna hitaji kuwa salama na nchi yetu hao waliotumwa na...
Amani ni muhimu tuu kwa anaye amini, kinyume chake ni fujo. Unajazwa ujinga unafanya wanavyotaka wanao watuma, polisi butua tuu hao binadamu nusu wangetimia ubinadamu wasinge shawishika kirahisi hivyo.
Kwa tulipofikia hakuna jipya, malalamiko tumekwisha yazoea, watoto deka. Muda umepita mazungumzo Ijumaa saa7 mchana tutaanza kuulizana za tangu juzi.
Wanyooshwe tuu hakuna namna. Inatakiwa uchaguzi huu mmnyooshwe mpaka tuingiwe na huruma, Bara wabunge 4 na visiwani wabunge 13, upinzani kwishney.
Mtanyooshwa tuu, kwani msituni niye ndio mtakuwa wa kwanza. Wapalestina waliingia tangu 1948 mpaka leo na wanaendelea kunyooshwa. Kichwa ngumu piga nondo.
Mnadanganya na jicho bovu eti askari wanabeba fimbo. Subirini muone kama ni fimbo au kitu kingine. Kesho saa nne asubuhi wataanza maji kuyaita mma. Wapuuzi wajibu kwa upuuzi.
Watu wameanza kupigwa risasi baba yako hajazaliwa na watapigwa tuu hata miaka 50 baada ya wewe kufa. Nilifikiria kupewa Urais kumbe kupigwa risasi? Kichwa ngumu piga nondo mpaka wanyooke.
Kwa muda mrefu sana kutunga uwongo na sio propaganda ndio imekuwa njia ya kuendesha vyama vya upinzani, muda wa hesabu umefika tutaanza kufanya siasa za ushindani wa kweli.
Mbowe biashara imekuwa ngumu na haitajiki tena kwenye siasa za upinzani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.