Recent content by mjuaji

  1. M

    Vijana, msifanye makosa kama niliyofanya. Kujiunga na CHADEMA ni sawa na kucheza karata tatu!

    unafikiri kwa akili ama? cdm tutaiunga mkono mpaka Yesu arudi mara ya pili.iwe kwa shari ama heri.
  2. M

    Photo: NEW PRESIDENT OF CHINA XI JINPING RECEIVES ROUSING WELCOME IN DAR ES SALAAM

    uzeni nchi na mikataba iliyoandikwa kwa kichina
  3. M

    Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

    migulu pole sana
  4. M

    Kingunge Ngombale-Mwiru alazwa Muhimbili (March, 2013)

    pole sana.nakutakia afya njema na maisha marefu ili uvuke 2015 ushuhudie CHADEMA ikichukua nchi kwa amani ili uwashauri CCM wasifanye vurugu
  5. M

    Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa

    lipo genge lipo.wakili wa ULIMBOKA Alisema siku ile walomdhuru walikokuwa wametoka.hata wewe mtoa mada unajua
  6. M

    CHADEMA ni lazima mtujibu maswali haya!!

    kuwa mwana CCM unaonyesha jinsi ulivyo zoba.
  7. M

    Dr Hamis Kigwangala(Mbunge); Najipanga kuacha siasa

    kura za maoni ulikuwa wa tatu.au umesahau?huna nafasi ya kushinda.wala hufai huna lolote.tofauti na jaziba.kiboko yako Tundu Lissu alikuumbua bungeni
  8. M

    Kinana kwenda Kenya katika kipindi hiki kina walakini!!

    yawezekana kasafisha nyara za serikali.
  9. M

    Rais Kikwete; Watanzania tukukumbuke kwa lipi ulilotufanyia?

    mie nitamkumbuka kwa jinsi ambavyo hana maamzi.na kucheka cheka
  10. M

    Uchaguzi Kenya: Nani atakuwa rais mpya

    RAILA Atashinda
  11. M

    Mbowe na siasa

    amia ccm kwa wasio na jaziba
Back
Top Bottom