Recent content by mjsimon

  1. M

    New Job of the Program Director

    If you find yourself competent and meet all personal specifications mentioned in the attached advert, please submit: 1) Application letter 2) Detailed CV not exceeding 5 pages 3) Copies of the relevant academic and professional certificates to: tuamoyo@gmail.com Deadline: January 21st, 2015...
  2. M

    Kwa wanangara na Tanzania kwa ujumla

    Usifanye makosa katika uchaguzi huu, wa serikali za mitaa Ndugu zangu watanzania, awali ya yote napenda kuwasalimu, wakubwa Shikamoo na wadogo habari gani. Kwa wale ninaowazidi, watakuwa wameniamkia. Kwanza napenda kumshukuru Mungu muweza wa yote kwa kutufikisha siku ya leo ninapoongea na wewe...
  3. M

    Kazi ya Mhasibu TAISODE Kahama, Tanzania

    TAISODE is a non- profit, non- governmental organization registered under the Non-Governmental Act No. 24 of 2002 on 16th June 2014 and issued with a Registration Certificate No. 00007244. TAISODE was establishment for the purpose of combating disease, hunger, illiteracy and poverty through...
  4. M

    Lowassa ampa Apson kiasi kikubwa cha fedha Kutekeleza maazimio ya kikao cha akina Mbatia

    Hilo siyo tatizo kwa sababu 200M ni pesa kidogo ukilinganisha na alizopewa ZZK na watu wa CCM kupitia usalama wa Taifa. Zikianza kumpitia puani sisi tutakuwa tunamwangalia tu. Hata hivyo, wabunge wa Mbatia ambao wako nje ya Bunge hawana njaa kihivyo maana mishahara na marupurupu yao kama...
  5. M

    JWTZ yawapiga wananchi Ngara!

    JWTZ yafanya kufuru Ngara. Wanajeshi wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika wilaya ya Ngara, kata ya Mrusagamba wamewapiga vibaya wananchi 17 wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kwa madai kuwa wamekata bomba ya maji yanayopeleka maji Jeshini. Kipigo hicho kimewakumba...
Back
Top Bottom