Recent content by mjomba mapumbu

  1. M

    Tanzia: Mwanamuziki Geez Mabovu aaga dunia

    Upumzike kwa aman jembe ile mbele yetu,nyuma yako pia manyoka kulen tu ngada mzid kuwatoa wenzenu vitambi.....
  2. M

    Unga umezima ndoto za hawa wasanii wa kizazi kipya ninaowafahamu

    Bila kuwasahau hawa jamaa,dogo banyenda kwisha kazi,domo kaya na mzee mzima daz baba......
  3. M

    Unga umezima ndoto za hawa wasanii wa kizazi kipya ninaowafahamu

    Nyandu tozi atumii bali ni pumba wa ngada....
  4. M

    Mpenzi wako kukupekua pekua mpaka sehemu za siri

    Hebu mpe kubwa wa kujiita mzee wa chumvin mana kwa style hiyo ndo mwanzo wa kuwa wali nazi jembeeeeeeee den demu akitoka hapi anaenda kujisifu kwa mashost zake kapima oil kwa mr nanii haha majanga hayooo
  5. M

    Hii tabia ya wavulana ikome

    Umevunja simu lkn memory card umeacha sa si utakua umeluka mkojo na kukanyaga kinyesi mama.......
  6. M

    Hii tabia ya wavulana ikome

    Kuna wa2 wazima wengine ovyooo ndo wanaongoza kwa mambo ya kijinga,unakuta ye ndo wa kwanza kufunguka na kukuonyesha hizo picha tena unakuta katumia pisa nyingi ili ampige picha za utupu kisa kuonyesha vijana wadogo mana nimeshas shuhudia tukio la namna hiyo.....
Back
Top Bottom