Dah!!hii imebidi niijibu...We kuna sehem mikoani hata Dispensary hakuna ndugu afu eti ukikaa dar unaweza survive popote...
Watu maji ya kunywa tu masafi labda wasubiri ya mvua.
Unalala usiku unasikia sauti ya mnyama na choo ni cha nje...
Anyway kila sehem na chamgamoto zake...uwe town au mkoani..
Kiukweli Diamond ana sifa moja ya ziada pengine wengine hawaioni..nayo ni
Kuwafikilia wengine nao wapate riziki ili mkono uende kinywani..
Haya mengine naona ni ya kawaida tu
Sababu kuu
Thamani ya pesa inatakiwa izidi gharama za matengenezo..hiyo pesa production yake ina thamani kuliko purchasing power yake so lazma waibadilishe
Mfano..
Tsh 100 material yake yangekua makubwa kuliko purchang power yake basi watu badala ya kuitumia kununulia vitu wangeiyeyusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.