Wakuu,
Tuungane kupeana Riziki. Leo nataka kuunga mkono mwanajamvi mwenye kuuza cameras.
Kama unauza, nataka Sonny Cyber shot. Au nyingine inayoendana na hiyo
Ni PM tufanye biashara.
Nipo Dar
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Wakuu, kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Kwanza naomba nieleze kwamba, taarifa ninazozitoa hapa ni za uhakika maana nimepewa na mtu wa uhakika kabisa ndani ya ASA MICROFINANCE. Nitajitahidi sana kuandika kwa ufupi ili tusichoshane katika usomaji.
Kampuni hii inajihusisha na kutoa mikopo...
Habari wakuu,
Zitto Kabwe ametoa kauli nzito sana ambayo aliichapisha ktk mtandao wa Twitter (X).
Alisema, 'Nchi hii waunganisha Taifa ni Taifa Stars na KKKT ..."
Je ni busara kwa kiongozi mkubwa wa chama cha siasa kama yeye kutoa kauli kama hiyo?
Una maoni gani kuhusu kauli hiyo?
Wakuu,
Kuna gape nimeliona mahali la kutengeneza pesa kidogo.
Eneo lina uhitaji sana wa movie zilizotafsiriwa kuanzia single na series.
Well, nina mpango wa kufungua ofisi yenye ina deal na hivyo vitu plus stationary.
Shida yangu ni napataje mawasiliano ya hawa ma DJ wanaotafsiri Movie ili...
Wakuu
Bango linajieleza.
Kama unapata shaka kuwa unamaliza mapema mno kwenye show, relax.
Ni vigumu kujua hawa watu wanataka nini. Kumbuka, there's always a second chance. So usiteseke bure.
Chukulia hilo jambo kwa mtazamo chanya kwamba mwanamke wako is sexy enough kufanya ukojoe mapema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.