Recent content by Mji wa zamani

  1. M

    Tetesi: Cecil Mwambe kuhamia CCM muda wowote kuanzia sasa

    M/kiti wa Chadema anahama vp Tena Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

    Mbowe Kanyaga twende Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini

    Mayalla nilikuwa nakuaminia Sana na kusoma makala zako, Ila kwa sasa unaangalia tumbo lako zaidi kuliko kusimamia haki. Endelea tu utaupata ukuu wa wilaya. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Mwambe hili linakuondolea sifa ya kuwa mwenyekiti/kiongozi CHADEMA

    Mwambe hafaiiiiiiiiiio Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    GE2020 Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!

    Njaaa inakufanya ushindwe kufikiria hata kdg? Nilikuwa msomaji mzuri sana wa makala zako lkn sasa hv naona network haipo sawa
  6. M

    Wananchi watakiwa kujitokeza kwa wingi, uchaguzi kuwa huru na wa haki, demokrasia kushamiri, washindi halali kutangazwa

    Mayalla vumilia njaaa, unajioendekeza sana mpaka unasahau taaluma yako. Nilikuwa msomaji mzuri sana wa makala zako lkn toka uache kusimamia haki uwa nakushangaa sana. Unautaka ukuubwa wilaya kwa unafiki?
  7. M

    Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

    Anakuwaje mgombea bila kudhaminiwa na chama? Kama katiba inaruhusu mgombea binafsi Sawa. Chadema walijitoa nchi nzima kwy uchaguzi
  8. M

    Tusidanganyane: Mbowe bado anataka kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA

    Kuna chama kimoja sijawahi kuona wanagombea nafasi ya M/kiti. Mbona hao huwasemi? Mbowe tuvusheeeeeee
  9. M

    Wazo Gomvi: Kabla ya Kujitoa CHADEMA Ingeeleza Hili Kwanza...

    Vp Mzee Mwanakijiji imeingia Nini, mbona Kama sio akili zako. Hebu ichomoe usome upuuzi uloandika
Back
Top Bottom