Mayalla nilikuwa nakuaminia Sana na kusoma makala zako, Ila kwa sasa unaangalia tumbo lako zaidi kuliko kusimamia haki. Endelea tu utaupata ukuu wa wilaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mayalla vumilia njaaa, unajioendekeza sana mpaka unasahau taaluma yako. Nilikuwa msomaji mzuri sana wa makala zako lkn toka uache kusimamia haki uwa nakushangaa sana. Unautaka ukuubwa wilaya kwa unafiki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.