Siamini km kucheza mchezo wa karate basi utakuwa umekiuka sheria za nchi, mbona mm mwnyw nacheza tena sana tuu..? Aliyeleta huu uzi ndo hajui kuwasilisha key nadhani. Kikubwa hapo ni kuwepo kwa vituo vya watoto bila utaratibu. Maana yanaweza kutokea maafa na watt wetu wakadhurika ama kupoteza...
Mimi siamini km hizo habari ni za kweli. Iweje ziandikwe kwenye hilo gazeti tuu....magazeti mengine yasiwe na taarifa..?! Uzushi mtupuu..hiyo ni njia ya kumvunja moyo ZZK na wafuasi wake. Shindwaa Dr. Mengi
ZZK hakuna kukata tamaa Mkuu, tuko pamoja tuko nyuma yako. Wewe ni mtanzania halisi mwenye uchungu mkubwa sana na maisha duni ya wananchi walio wengi. Mungu aendelee kuwa mbele yetu katika Mapambano haya..
Ngoja nichangie kdg tu halafu nasepa. Nawahi wananchi wangu ktk mji huoo.
Wengi wamechangia vzr, lkn kwa bahati mbaya sana, wengi wana "uelewa" mdg naomba nieleweke hapo sina maana ya kuwa hawana akili, no, ila kujua km kweli mwanamke anakupenda ama laa. Kwa kawaida, mwanamke huwa hapendi kwa...
Eti.."vanilla is my bby.." nyonyonyonyonyooooo...ptfyuuuuuuuuuu..huna hata haya..kwani umeshindwa kumchukua mtt ktk kituo ki1 cha kulelea watt ukamlea km kweli wajua kulea ww..? Wee sema una mpenz dog..not a bby bich..!!
Yani hapo chanzo ni mwendo kasi tuu na kutokuwa na hekima kwa madereva wala hakuna kingine. Halafu inaonyesha mvua ilikuwa inanyesha so barabara lazma iteleze...so break za haraka hazishiki..
nyaggad na Evelyn Salt mko nje ya mada, rudini tujadili kilichopo na sio hayo yenu binafsi. Maneno huonyesha hekima yako ilipo, so jaribuni kubadilika.
Agenda nzuri kweli na imechangiwa vzr mno. Ila kuna baadhi wanatumia maneno magumu wakati yapo ambayo yakitumika yataeleweka tuu. Aidha, mkuu mito umesema jambo halisi, wadada/wake wengi wa kariba hii hutoa penzi kwa wenza wao km zawadi, sawa sikatai kuwa mwili wa mwanadamu yeyote ni wa thamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.