Recent content by mjerumaniwapahi

  1. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania Haya tufanye pesa zinachotwa kama anavyowaongopea Polepole na Mange Kimambi. Nyie mnasemaje? Mna la kufanya?

    Siyo lazima tufanye jambo kikubwa tujue hayo madudu Uamuzi utafanywa hata na kizazi kijacho na kisasi kitakujalipwa
  2. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tuna mamilioni ya sababu za kwanini OCTOBER TUNATIKI kwa Rais Samia Suluhu Hassan Na kwa CCM na si kwingine

    Wakati watu tumeuza ufuta na mbaazi kwa bei ya kipuuzi halafu unamkuta kenge Mmoja anabwabwaja kama mende imekunywa sumu Wengine ilitakiwa muwe mmefuata job ili angalau wabaki wachache wenye uelewa
  3. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania Nina uraibu wa kutegemea sana chatGpt, nisaidieni namna ya kuacha

    Umenikumbusha ngoja nikawaulize maswali Sasa hivi ni muda sijahangaishana na hiyo app
  4. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania Kulifunga Kanisa Si Sawa

    Afunge misikiti mbona mpaka Sasa pangechimbika
  5. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania Ni mapngo maalumu kuweni makini

    Kwani kuoana dini tofauti imeanza Leo? Mara ngapi Muslim anaolewa na mkristu na mkristu anaolewa na muislam Au mara ngapi watu wanabadili dini kulingana na mitazamo yao? Acha fikra potofu haya maisha yameanza tokea zamani na hakuna kitachobadika
  6. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Hii hali ndiyo anayopitia mama mkwe wangu Ila Mimi Huwa sihangaiki kabisa nilishajisema kama ni nyumba iuzwe tu Jinsi ulivyoeleza ndivyo na mama mkwe wangu anapitia mpaka na kampuni ni hizohizo
  7. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    03:2
  8. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania Ukitaka uishi kwa raha usiingie katika Siasa, zama katika Uislamu

    Wewe nyoa ubaki kidevu cheupe kama Cha shangazi yako
  9. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania Walimu wasio na ajira wasakwa kama ndege na Jeshi la Polisi!

    Wewe kinachokuwasha ni Nini? Kuna Cha kwako walichokiharibu? Au katika hoja zao Kuna mahali wameilazimisha serikali iwape ajira? Kama wewe ni mkulima, ni umejiajiri, au umeajiriwa endelea na harakati zako Waache wengine waendelee na harakati zao kulingana na wanavyoamini wao
  10. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania Kijana wa miaka 29 auawa baada ya kufumaniwa na mke wa mtu, mume akamatwa

    Wanasema bakari nondo inaathari kiafya
  11. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania Lost hope to farmers in Chemba, Kondoa Districts

    We are suffering Nimelima maeneo hayohayo yaliyotajwa Hali ni mbaya haswa Mitano5 tena
  12. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania Wakuu hivi viti vya kuzunguka havina kesi yoyote nataka kununua ila nahofu

    Wewe inatakiwa ukalie tofali Maana kama ulichoandika hakiwleweki je hicho kiti utaweza kikalia kweli?
  13. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania Simiyu: Mwanafunzi adaiwa kufariki kwa kuchapwa viboko na kukanyagwa kichwani na mwalimu shuleni

    Tunafanyaje Sasa Atawekwa hizi hizi ili nafsi zetu ziridhike tu japo haki kuipata ni geresha tu
  14. mjerumaniwapahi

    JamiiForums Tanzania Simiyu: Mwanafunzi adaiwa kufariki kwa kuchapwa viboko na kukanyagwa kichwani na mwalimu shuleni

    Unamchapaje mwanafunzi fimbo 10 tena Kila mahali Amekua ng'ombe ? Anaenda jela na kupoteza ajira kwa ujinga wake
Back
Top Bottom