Recent content by MJASIRIAMARI

  1. MJASIRIAMARI

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Kupitia uzi huu tulijifunza mengi ingawa wale wachoyo wa njoo dm hawaishi
  2. MJASIRIAMARI

    Karibu tufahamishane kuhusu aina tofauti za bathtub, jiko, karo na vyoo

    Tupo mwezi wa 4, 2025 vipi mmeacha kujenga? Sioni michango humu jamanj
  3. MJASIRIAMARI

    Hesabu Za LUKU Zinapigwaje

    Unachotakiwa kufahamu ni kwamba, nje ya makato ya kodi ya jengo ya kila mwezi tsh 1,500/= fedha ngingine yote unanunua unit kwa aprox Tsh 357/= ikiwemo na kodi zote humohumo.
  4. MJASIRIAMARI

    Fursa zinazopatika kipindi cha mavuno ya ufuta maeneo ya Kilwa kuanzia May mpaka Agosti kila mwaka

    Samahani naomba unisaidie namba yako ya simu ili niweze kuwasiliana na wewe PM au WhatsApp. Natanguliza shukrani
  5. MJASIRIAMARI

    Biashara ya nafaka Dar ipoje?

    C:TujiajiriTujiajiri
  6. MJASIRIAMARI

    Biashara ya nafaka Dar ipoje?

    Mkuu upo kimya sana humu au ndio uko shamba. Naomba mawasiliano yako DM kuna vitu nataka nikuulize kwa kirefu. Nakuomba sana
Back
Top Bottom