Recent content by MJASIRIAMARI

  1. MJASIRIAMARI

    JamiiForums Tanzania Nimekuja kwenu kuomba ushauri wa kilimo Cha maharage chenye Tija (faida)

    Aisee ok kiongozi nashukuru kwa taarifa. Hivi vitu bila taarifa unaweza jikuna unakurupuka na mzigo kisha unaangukia pua, kifuatacho ni hasara na mtaji kufa.
  2. MJASIRIAMARI

    JamiiForums Tanzania Nimekuja kwenu kuomba ushauri wa kilimo Cha maharage chenye Tija (faida)

    Ungetusaidia kuijua hiyo mikoa ingekuwa vema ili tukawe makini katika hilo aisee maana unaweza kuingiza mtaji wako ukaishia kulia kama umefiwa
  3. MJASIRIAMARI

    JamiiForums Tanzania Natafuta machimbo ya Nafaka kanda ya Ziwa

    Mimi nilitaka kujua utaratibu kwa anaenunua na kuweka stoo kisha kuuza baadae kwa mikoa ya katavi au rukwa au songwe/momba utaratibu upoje, mwenye uzoefu atupe madini/uzoefu
  4. MJASIRIAMARI

    JamiiForums Tanzania Natafuta machimbo ya Nafaka kanda ya Ziwa

    Bei ya usafirishaji kwa tani au kg au kwa gunia ni kiasi gani hadi Dar? Vipi usumbufu wa vibali na ushuru njiani umekaaje? Barabara zinapitika vizuri?
  5. MJASIRIAMARI

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Kupitia uzi huu tulijifunza mengi ingawa wale wachoyo wa njoo dm hawaishi
  6. MJASIRIAMARI

    JamiiForums Tanzania Karibu tufahamishane kuhusu aina tofauti za bathtub, jiko, karo na vyoo

    Tupo mwezi wa 4, 2025 vipi mmeacha kujenga? Sioni michango humu jamanj
  7. MJASIRIAMARI

    JamiiForums Tanzania Hesabu Za LUKU Zinapigwaje

    Unachotakiwa kufahamu ni kwamba, nje ya makato ya kodi ya jengo ya kila mwezi tsh 1,500/= fedha ngingine yote unanunua unit kwa aprox Tsh 357/= ikiwemo na kodi zote humohumo.
  8. MJASIRIAMARI

    JamiiForums Tanzania Namna nzuri ya kuwa Winga na Pointa wa biashara ya mitumba

    Uzi mzuri huu jamani
  9. MJASIRIAMARI

    JamiiForums Tanzania Fursa zinazopatika kipindi cha mavuno ya ufuta maeneo ya Kilwa kuanzia May mpaka Agosti kila mwaka

    Samahani naomba unisaidie namba yako ya simu ili niweze kuwasiliana na wewe PM au WhatsApp. Natanguliza shukrani
  10. MJASIRIAMARI

    JamiiForums Tanzania Biashara ya nafaka Dar ipoje?

    C:TujiajiriTujiajiri
  11. MJASIRIAMARI

    JamiiForums Tanzania Biashara ya nafaka Dar ipoje?

    Mkuu upo kimya sana humu au ndio uko shamba. Naomba mawasiliano yako DM kuna vitu nataka nikuulize kwa kirefu. Nakuomba sana
Back
Top Bottom