Hii naona haina tofauti na wanayoifanya mtaani.Unakopa laki kwa mwezi unamlipa laki na 20.Ukishindwa mnaweza kukubaliana akapokea 20 kama faida take na mkataba wa laki kwa laki na 20 unabaki palepale.Tofauti hapo itakuwa kuandikishiana kisheria.Unaweza boresha kwenye hiyo asilimia 15%japo wengi...
Pole sana ndugu.Inaonekana kibiashara hukufanya kitu kinachoitwa upembuzi yakinifu.Aina ya biashara uliyoichagua uliichagua kwa sababu tu uliona una mtaji mkononi.
Lakini pia inaonekana hata kwenye juhudi ya kile unachokifanya bado Nina mashaka kama unaweza kufanikiwa kwa sababu.Kwanza katika...
Mbona mtaji unao tayari.Zote hizo unaweza kuzifanya.Kwa utafiti wangu mdogo nilioufanya ukipata kijana vifaa vya mambo ya kucha havizidi laki na nusu.Ukiamua kuanza na yale makontena ukapata kijana anaanza mdogo mdogo juisi,maji na soda kwa kununua barafu na kulipondea huko haizidi laki 2 na...
Well said Mkuu.
Nami nilikwisha wahi kukumbana na kadhia kama hii.Hii ilikuwa Tigo miaka kadhaa iliyopita nililipishwa Tsh elfu 6 na ushee kupata hiyo statement.Jana nilitamani kupata nyingine lakini nilivyokumbuka hiyo elfu 6 na kitu nikaamua kutulia.
Inasikitisha kwa kweli, Kampuni kama hizi...
Fanya Biashara inayotrend sasa hivi mjini na vijijini ya Kutengeneza Mifuko mbadala.Imagine una kakiwanda chako kidogo cha mashine za kichina na kuzalisha halafu unasuply nchi nzima.Ukitaka kufanikiwa fanya hii ukitaka kupoteza muda endelea kusoma ideas.Ukipendezwa na hii nicheki...
mchepuko wa mkulu,
Nenda pale Machinga Complex kuna vijana walimaliza chuo miaka kama miwili iliyopita wanafanya hiyo biashara,utajifunza na kujua mengi.Sijawahi fika hapo ila niliwaona wakitangaza kwenye kupitia Tv.Nenda waulizie.
Kwa wiki zaidi ya 200k ni nyingi sana na hapo upo single ukioa utajuta.Jaribu kubana matumizi kwa kuangalia vitu vifuatavyo:
Gharama za kupika kama uko single au MTU mmoja ni juu sana kuliko mkiwa wawili au watatu kwani nishati inayotumika kupikia ni ile ile na Mara nyingi chakula hubaki na...
Nikisema ufanye biashara sasa utapoteza focus ya masomo yako.Unatakiwa uwe makini na masomo yako na kusoma kwa bidii.Hiyo hela tafuta MTU ambaye anafanya kitu unachotaka kufanya:wako watu wengi tu wanaofanya kilimo.Wekeza kwao wewe uwe unahusika kwa namna fulani tu.Biashara inahitaji...
Hapa Mkuu naona umekuja na mhemko zaidi kuliko kutafuta suluhisho.
Kwani ukitaka hayo unayotaka yatokee ni lazima ufungue NGO?
Mi naona we anzia hapo ulipo.Onesha umefanya nini mpaka sasa kuhakikisha jamii inabadilika,sera inabadilika, na unayoyaona au kutaka kubadilika yanawafikia watoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.