Unaongelea kimara ipi ndugu, naomba hiyo chumba ya 120000 chumba master, subule na jiko, halafu dk 4 kuja morogoro road ni mlipie ata mchepuko wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu, ni share holder kwa mjibu wa mkataba wa sasa, natakiwa kuhama naenda mikoani sasa nimelipa kodi juzi kati hivyo mwenye nyumba kaniambia nitafute mpangaji naye anatafuta pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha zinagoma kuapload fanya nikutumie picha kwa whatsap km unataka, acha uoga mkuu ukitapeliwa inakuwa ni size yako na uzembe wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.