hapo ndipo mnapo feli, kuwa bila katiba mpya hakuna uchaguzi?kwa style ya mawazo haya mtakalia mayowe tu kila kukicha badala ya kutumia mikutano yenu ya hadhara kwa manufaa bora ya watanzania nyie mnakalia migomo uchwara ,mkisusa wenzenu wanakula kilaini bila jasho.Tumieni mikutano yenu kwa...
Tume inatekeleza majukumu yake kwa kufuata Sheria,Kanuni na Taratibu, hivyo hizo kura zinalindwa na na hizo sheria siku zote.Piga kura rudi nyumbani kaendelee na shughuli zako za kila siku.wewe ukilinda kura huyo WAKALA hapo kituoni kazi yake ni nini?
Hongereni Sana NEC kwa kuendelea kujipambanua katika dira yenu kutoka kuwa chombo kinachoaminika ktk kusimamia Uchaguzi Africa mpka kuwa chombo Bora kinachoaminika Ulimwengu mzima.Hii ni dira yenye
maono makubwa ambayo mnatanua WiGo sasa kutoka Africa sasa mmewaza zaidi ya Africa.kwa mipango...
Mimi nimejiuliza maswali mengi,nilichogundua ni kwamba hawa jamaa wametumia jinsi wagombea walivyorejesha fomu zao za uteuzi. Nimefuatilia mgombea wa CCM alikuwa wa kwanza kurejesha fomu za uteuzi na mgombea wa Chadema alikuwa wamwisho kukabidhi fomu za uteuzi.ndio maana CCM imeonekana ya kwanza...
wacha kuongea bila ya kuwa na uhakika ndugu ngoja nikusaidie hyo namba moja ni ya Afrika Kusini,kuhusu tenda tembelea tovuti ya ppra kwenye Tender Portal au kwenye Tanzania Procurement Journal.usipende kulishwa matango pori ukafakamia tuu ,utavimbiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.