Recent content by mjanjamjanja

  1. M

    Natafuta Sti Wrx 2005

    Wakuu natafuta gari subaru sti wrx 2005 model..... Iwe manual,turbo.isiwe imetumika bongo budget 10 m cashhhh.
  2. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    Nshawahi.....anasema hajabadilika,mara anapoteza.
  3. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    Ushauri wako mzuri nitaufanyia kazi........ntamsikilizia atareact vp.
  4. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    kiukweli bado nampenda,ila tunakuelekea naona huo upendo wangu unayeyuka kama barafu....
  5. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    sidhani kama anaweza fanya hivyo... but huwezi jua ndani ya moyo wa mtu.
  6. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    sasa ukimuuliza Vp mbona kweupe,mara hajibu,mara kachoka,nmemwambia mpaka basi..nmeongea na ndugu zake nao hawanielewi....huyu anakitu anaficha nyuma ya pazia.......Sasa hapa nnachofikiria ni kibuti.... kama spare tyre Sina..,pesa nampa naambulia mxiuuu,kumpiga Siwezi because Sina moyo huo.
  7. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    sasa hana faida yoyote,ndoa gani mnanuniana,hamuongei kabisa,hata ukikaa nae chini anachomoa. Je ungefanyiwa ww ungefanyaje?
  8. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    anasema mbona yuko sawa,hata majirani zake kawapotezea.....
  9. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    Sina mchepuko wala tabia hio....
  10. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    yupo tofauti na mwanzo kabisa....yuko totally different kabla ya kuondoka maisha yalikua ya amani,Alikua hana kiburi wala dharau....tangia arudi hajawahi kupika hata cku moja ukimuuliza Vp full mxiuuu halafu unamuachia pesa ya kutosha tu,Yaani Majanga,sasa hivi kila cku milo mitatu yote...
  11. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    hapana kuchepuka sio kusolve a problem )))
  12. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    mhhh haya mawazo mengine bana
  13. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    analeta dharau tu...
  14. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    kumbe ila huyu kazidiiii
  15. M

    Mke wangu kabadilika sana.....

    Habari zenu ndugu wa mmu, Ni hivi nmebahatika kuoa na kupata babyboy moja.Nmedumu kwenye ndoa miaka 3 na mke wangu. Nmeishi na mke wangu kwa upendo na furaha.Miezi mitatu iliyopita mke wangu alienda Kwao Mwanza,maana tangia nimuoe hajafika huko.Sasa alivyorudi amebadilika kila kitu kuanzisha...
Back
Top Bottom