sasa ukimuuliza Vp mbona kweupe,mara hajibu,mara kachoka,nmemwambia mpaka basi..nmeongea na ndugu zake nao hawanielewi....huyu anakitu anaficha nyuma ya pazia.......Sasa hapa nnachofikiria ni kibuti.... kama spare tyre Sina..,pesa nampa naambulia mxiuuu,kumpiga Siwezi because Sina moyo huo.
yupo tofauti na mwanzo kabisa....yuko totally different kabla ya kuondoka maisha yalikua ya amani,Alikua hana kiburi wala dharau....tangia arudi hajawahi kupika hata cku moja ukimuuliza Vp full mxiuuu halafu unamuachia pesa ya kutosha tu,Yaani Majanga,sasa hivi kila cku milo mitatu yote...
Habari zenu ndugu wa mmu,
Ni hivi nmebahatika kuoa na kupata babyboy moja.Nmedumu kwenye ndoa miaka 3 na mke wangu.
Nmeishi na mke wangu kwa upendo na furaha.Miezi mitatu iliyopita mke wangu alienda Kwao Mwanza,maana tangia nimuoe hajafika huko.Sasa alivyorudi amebadilika kila kitu kuanzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.