sasa ukimuuliza Vp mbona kweupe,mara hajibu,mara kachoka,nmemwambia mpaka basi..nmeongea na ndugu zake nao hawanielewi....huyu anakitu anaficha nyuma ya pazia.......Sasa hapa nnachofikiria ni kibuti.... kama spare tyre Sina..,pesa nampa naambulia mxiuuu,kumpiga Siwezi because Sina moyo huo.