Ukiacha kufikiria hvyo... Utapata jibu kwa nn kabila lako nyimbo zake hazi-hit kama za saida....
Saida kaloli.. Alitakiwa kupata uwekezeji kama wa kipindi cha MUTA... akafanya kwa asili akapiga kambi kwao akachukua madini akayaleta mjini.. Anazofanya kwa sasa zitampoyeza tenah hila yule mama...
CDM wakosea
1. Kubadilisha anga angani bila kuwafikisha abiria wanakokwenda.
2. Kumchukua aliyekuwa UFISADI kwa maneno yao wenyewe.
3. Kuongea sana kuliko kutenda kazi ambazo wananchi wao wanategemea.. Watanzania walio wengi ni maskinj wanaoitaji urahisi wa maisha kuliko kile kinachoitwa...
Umoja wa wanaume ofisi zao zipo wapi... ?? Hivi hiki kitengo kipo umojA.wa.mataifa... Kwa nn wanaume tusianzishe hii kitu... Hili twende sambaba hawa wezetu wanataka sasa kutupanda vichwani......
Wahaya siasa zimewafarakanisha utafti na ukienda bukba unajiuliz hv uku ndiko wanakotoka hawa watu kweli... Nasikia kulikuwa na collision kati ya mwalm na baadhi wa wahaya.. Mambo yakabadilika ghafla labda na hilo la passmark likaongezwa,
Kwa sasa majumba yapo ndani ya mgomba.. Mjini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.