Recent content by mjamaa wa kweli

  1. M

    Vituko vya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mulongo aliyejiwekea ulinzi kama wa Rais

    Mungu anakuona ulivyomsema mbunge wa monduli na leo unavyomtukuza. Tuache kua ndumilakuwili kwasababu maneno yetu yatatuhukumu.
  2. M

    Wabunge walalamikia adhabu ya kijana aliyemtukana rais kuwa ni ndogo, Waziri wa Sheria azungumza

    Ili sheria ifanyiwe marekebisho kwasababu fine peke yake haitoshi na watu watakua wanatukana kwa kigezo cha kulipa fine na sifa ya kwanza ya adhabu ni imkomeshe mtuhumiwa ili asirudie kosa na kuwafunza wengine wasifanye kosa. Bunge ndio chombo cha kutunga sheria ukumbuke hilo kwa hiyo hata...
  3. M

    Vigezo, masharti kuzingatiwe ili kuboresha elimu (waliozoea elimu ya mkato wasahau)

    Obama na malkia Elizabeth wanasadifu uelewa wako kwa hyo ni kheri hao maprofesa kuliko ww masikini wa fikra. Ndio ninyi mnaoshangaa maprofesa na kusema wanazidiwa kiengereza mpaka na watoto wadogo walio England. Elimu kwako ni kuongea kiengereza na sio maarifa basi hata Wema Sepetu ameelimika...
  4. M

    Katika ujamaa, M/kiti ni mungu, ana fikra sahihi na nguvu zote

    Cha ajabu hata uiengereza wana dini yao ya Anglican sio zetu tulizoletewa na wameelimika mpaka walitutawala ila wanaongozwa na ukoo wa kina Elizabeth bila kuhoji kwann ukoo mmoja tu ndio uwatawale? Na malkia Elizabeth uiengereza anatukuzwa kama mungu vile ni lazima tukubaliane kua hatuwez kua...
  5. M

    Kwanini ziara za kushukuru wananchi za Mwigulu Nchemba hazizuiliwi na Jeshi la Polisi?

    Tunataka ziara za kuleta maendeleo kama hizo na si za uchochezi leta madawati leta cement leta huduma kwa jamii na utuambie mikakati yako sio unakuja kutufundisha jinsi ya kuchukia kila linalokuchukiza ilihali watoto wako wapo nje ya nchi hatutak unafiki na sisi tunataka maendeleo hatutaki...
  6. M

    Maalim Seif Atinga Washington DC na ujumbe wake

    Ni upumbavu kuamin kua marekan ndio mkombozi wa matatizo yako ya serikali kwa sababu wao hawaji Africa kuomba ushauri au usaidizi kwa nchi yoyote juu ya matatizo yao. Waafrica tunabaguana wenyewe kwa wenyewe kisha tunaenda kwenye nchi za magharibi kuomba back up ya ujinga wetu.
  7. M

    Maalim Seif Atinga Washington DC na ujumbe wake

    Acheni ubaguz wakuja ndio nn kwa maneno yako unadhihirisha Cuf ni chama kilichojengwa kwa misingi ya kibaguzi ilihali zanzibar kuna wanzibar na wazanzibara. Siku Cuf wakitwaa Zanzibar kwa maneno yako ya kibaguz Unguja na Pemba zitatengana. Rudin mkamsikilize mwl. Julius Kambarage Nyerere acheni...
  8. M

    Tumewajua mapema: Miezi 6 uwanja Chato, miaka 24 uwanja Butiama no!

    Ikiwa ni kweli pia ni jambo jema kwa maana Chato ni Tanzania pia na pakiendelezwa patakuja kukusaidia mpaka ww ulieleta uzi huu ila kama angesema zikajenge uwanja Burundi tungehoji. Uwanja ukijengwa Chato maana yake utasaidia Geita nzima na Shinyanga. Ni sawasawa na uwanja uliopo ilemela si...
  9. M

    Mikutano yote ya Kisiasa nchini, yapigwa Marufuku! kuanzia 07/06/2016 hadi usalama utakapotengemaa

    Mkutano wa rais unaweza ukazuiwa endapo itabainika mazingira yaliyopangwa kufanyika mkutano huo hayapo salama kwa usalama wa rais na si kauli za rais. Kuhusu kauli za rais na hotuba zake ni suala jingine ambalo lipo chini ya mamlaka nyingine na si Jeshi la polisi.
  10. M

    Mikutano yote ya Kisiasa nchini, yapigwa Marufuku! kuanzia 07/06/2016 hadi usalama utakapotengemaa

    Tatizo hatuna kipimo cha kuthibitisha kua hoja walizotoa jeshi la polisi ni za uongo au sio za uongo, masuala ya ulinzi na usalama hua hayahitaji siasa mkuu.
  11. M

    Mikutano yote ya Kisiasa nchini, yapigwa Marufuku! kuanzia 07/06/2016 hadi usalama utakapotengemaa

    Kuna watu wanalalamika juu ya vyama vya upinzani kuzuiwa kufanya mikutano ya hadhara ya operation linda demokrasia na kwenda mbali zaidi na kuanza kuhoji kama kitendo hicho cha kuzuiwa na jeshi la polisi kama kipo kihalali kisheria. Majibu: Section 5 & 7 ya police Auxiliury Act, imelipa jukum...
  12. M

    Mikutano yote ya Kisiasa nchini, yapigwa Marufuku! kuanzia 07/06/2016 hadi usalama utakapotengemaa

    Wana iabuse kivipi mkuu kwa sababu huenda mimi na wewe tukawa sio wahusika wa jeshi la polisi kwa hiyo tukawa hatuna uwezo wa kutambua viashiria hivyo ifikie kipindi tuwaache polisi wafanya kazi yao na wanasiasa wafanye kazi yao. Unakumbuka mwaka jana jeshi la polisi liliposema Amboni kuna...
  13. M

    Mikutano yote ya Kisiasa nchini, yapigwa Marufuku! kuanzia 07/06/2016 hadi usalama utakapotengemaa

    Section 5 & 7 ya police Auxiliury Act, imelipa jukum jesh la polis kusimamia aman na kuzuia viashiria vinavyoweza kuleta uvunjifu wa aman Ikisomwa pamja na national security Act, public order Act, penal code kifungu cha 74 nadhan,, vinalipa jeshin la polis nguv hiyo
  14. M

    Mikutano yote ya Kisiasa nchini, yapigwa Marufuku! kuanzia 07/06/2016 hadi usalama utakapotengemaa

    Bara lenye mwanga chama kinamteua mke wa aliyekua rais kua mgombea ila wao hawaoji na kusema kile chama ni cha familia Bill Clinton Hillary Clinton Democratic party Jiulize ingekua Africa kelele zingekuaje. Au ile familia ya ElizabethII ingekua Africa ingekuaje? Kila nchi na utaratibu...
Back
Top Bottom