Recent content by Mizizi

  1. Mizizi

    JamiiForums Tanzania John Malecela: Sioni Hoja ya Wanaopinga Uwekezaji wa DP World Bandarini

    Ndio maana Mzee anasema wanaopinga Hawana Hoja. Mikataba ya Makubaliano ya Uendeshaji hayajawekwa. Bado hamuelewi.
  2. Mizizi

    JamiiForums Tanzania John Malecela: Sioni Hoja ya Wanaopinga Uwekezaji wa DP World Bandarini

    Hizo ndio hoja za Wanaopinga. Mzee Yuko sawa, maana haoni hoja za maana zaidi ya kauli kama hizi
  3. Mizizi

    JamiiForums Tanzania John Malecela: Sioni Hoja ya Wanaopinga Uwekezaji wa DP World Bandarini

    Ndio maana Akasema wanaopinga Hawana hoja... Kama maelezo yenyewe ndio haya basi Yuko sawa
  4. Mizizi

    JamiiForums Tanzania Huyu Mwafrika mwenzetu "anatisha", anaongea maneno mazito sana kuhusu ujinga wa Waafrika

    Ndio Ujinga wenyewe anaousema huyu jamaa hapa
  5. Mizizi

    JamiiForums Tanzania Padri wa Kanisa Katoliki nchini Canada ashambuliwa altareni na kuchomwa kisu wakati wa misa

    JF habari zenu inaonekana hamjitambui. Tafsiri ya Baseball hat ni Kofia? Nia ya jambo hili ni nini?
  6. Mizizi

    JamiiForums Tanzania Padri wa Kanisa Katoliki nchini Canada ashambuliwa altareni na kuchomwa kisu wakati wa misa

    Kwani linawahusu waisilamu hili!
  7. Mizizi

    JamiiForums Tanzania Gari la Mbunge wa Kibiti lakamatwa likisafirisha magendo

    Nilidhani ni gari lake la kutembelea, kumbe gari la Mbao? Sasa mnataka kutuambia Mbunge anaweza kufuatilia magari yake yamepakia nini mda wote? Je, na hizo mbao ni za kwake? Makosa hayo hayawezi kuwa ni ya kwake moja kwa moja kwa sababu tu eti gari ni Lake.
  8. Mizizi

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Anatakiwa Dr huku ashauri nini cha kufanya
  9. Mizizi

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Wakeshaji wameongezeka kutokana na stress za maisha
  10. Mizizi

    JamiiForums Tanzania DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

    Watanzania Tumenyimwa elimu ya vitu vingi sana. Na ndio maana tumekuwa wapayukaji tu na washangiliaji kwa kila kinachotokea bila kujua uhalisia wake. Hiyo elimu inayohusu uwimdaji hatujui kitu. Tumekuwa wasemaji wa tusiyoyajua. Ni vyema ukipata jambo jipya kujifunza kwanza kabla ya kuropoka...
  11. Mizizi

    JamiiForums Tanzania Hujuma za makusudi dhidi ya ATCL zisifumbiwe macho

    Watanzania tuna matatizo makubwa sana. Tunapenda kusema na kufanya mambo tusiyoyajua na kuyaweza. Na tunaacha kuyasema na kuyafanya yale tunayoyaweza. Vizazi vinavyokuja ndio shida kuliko vizazi vilivyopo. Haya yote yameandaliwa kwa makusudi maalumu na bado hatushtuki
  12. Mizizi

    JamiiForums Tanzania MwanaHalisi: Kikwete akomba hazina! Fedha zilizopo hazitoshi kuendesha serikali hata siku 20

    Mimi nikikosa pedi huwa natumia Gazeti hili lililokosa mvuto.
  13. Mizizi

    JamiiForums Tanzania Hawa ndiyo vijana wa Lowassa waliokamatwa na Polisi

    Hawana Mamlaka ya kutangaza matokeo, kuhakiki sio tatizo
  14. Mizizi

    JamiiForums Tanzania Edward Lowassa aongea na vyombo vya habari, Amesema hatokubali matokeo ya uchaguzi mkuu

    Andamaneni, Mle kipigo magazeti yapate cha kuandika. na picha za front page za jasho na damu. kweli Mkapa hakukosea kuwaita Malofa
  15. Mizizi

    JamiiForums Tanzania Edward Lowassa aongea na vyombo vya habari, Amesema hatokubali matokeo ya uchaguzi mkuu

    apige kelele, Mwisho ng'ombe zinamsubiri....Ikulu sio machungani
Back
Top Bottom