Achana na hilo, hio haiwez kukaa hapo hapo kwa mida hata wa miez 6 ijayo. Itadrop tu sana. Kulinda thamani ya shiking iwe stable sio kwa ufisadi na pesa za magendo mtaan zisizo na njia maalumu.
Kaka umeeleza vizuri sana.
Ila
Hawa Nyumbu walioshibishwa propaganda na uchawa juu hawatakuelewa maana uelewa wao ni mdogo sana. Hongera snaa bro kwa kulielewa hilo na kuwaele
anaitwa chawa au muhuni kwa sababu ya akili kama hizo ukizonazo unazouliza maswali. Tunajiuliza, inakuaje mtu timamu...
Ukweli japo inauma.
Uelewa wa Watanzania walio wengi hasa wanaoishi vijiji watu wazima bado wanaamini ccm hii ni ya Nyerere. Hawana cm za smart hata Polepole hawawez kumsikia.
Hawajui kabisa kama CCM ya sasa haipo kwenye msingi ambao Nyerere aliuweka. Siku wakijua watabadilika.
The Master's last days are numbered. The patriots of the system have decided his fate. He cannot escape it.
"Now this is his final end.
The Master's last days are numbered. The patriots of the system have decided his fate. He cannot escape it. Now this is his last" ends.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.