Recent content by Mizam

  1. M

    JamiiForums Tanzania Logical contradictions zilizopo kwenye kitabu cha Mwanzo cha Biblia ambazo ni uthibitisho tosha kwamba, Biblia ni hadithi na hekaya za kutungwa tu!

    Usipoamini uwepo wa Mungu na uwezo wake, ni kujitoa akili na kujifanya punguani. Uwezo wa Mungu huwezi kuupima kwa akili zako hizo ambazo Mungu amezipa mipaka. Usifananishe vitu vya duniani kwa akili yako, na Mbiguni na akili ya Mungu. Mungu goes to infinity. Haihitaji justification ila ni...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Logical contradictions zilizopo kwenye kitabu cha Mwanzo cha Biblia ambazo ni uthibitisho tosha kwamba, Biblia ni hadithi na hekaya za kutungwa tu!

    Hata huku kwetu, Gwanamalundi alitembea juu ya Maji. Logic consistence itafutwe nankwa huyo.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM raia wa hali ya chini walifurahia na kuona taifa lao limepata mkombizi. Sasa hivi wanaona taifa wanapigwa na wahuni

    Umapokuta taifa lipo katika ufisadi mkubwa, kama wa kipindi cha JK, kuliweka sawa inahitaji ngivu kubwa sana nanubabe jui. Kumbuka JK aliweka watu wengi kwenye system (ofcourse ninujanja wa mjin ili uwe godfather), Watu wale waliweka system ya kuwawezesha washkaji na matajili wakwepa kodi...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM raia wa hali ya chini walifurahia na kuona taifa lao limepata mkombizi. Sasa hivi wanaona taifa wanapigwa na wahuni

    Ambao hamuelewi husema hivyo. Kama ulikua hulipi kodi, unadanganya/Unadanganywa tu danganya tu kule TRA, yeye alipoingia na dhamira ya taifa kujitegemea na uchumi wa kati, ilibidi watu walipe kodi na sio kuchangiana kwenye matamasha ma milioni then wapaye relief ya kodi, wakati hao hao hao...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM raia wa hali ya chini walifurahia na kuona taifa lao limepata mkombizi. Sasa hivi wanaona taifa wanapigwa na wahuni

    Kasema kitu kilichowazi, walalahoi walipata nafuu ya maisha, mifumuko ya bei ya kulazikisha aliikemea. Sababu sababu za kuleta maisha magumu kwa watanzania kwa kisingizio cha Vita au anything global ambapo kwa wengine ni mwanya wa kupiga pesa alikemea na kuleta unafuu wa maisha kwa walala hoi...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wakati wa utawala wa hayati JPM raia wa hali ya chini walifurahia na kuona taifa lao limepata mkombizi. Sasa hivi wanaona taifa wanapigwa na wahuni

    Kwa hiyo kwa akili zako ni bora utawala huu au ule uliopota? Kwa manufaa ya Taifa na utaifa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Hiyo audio mbona kwangu haitoi sauti?
  8. M

    JamiiForums Tanzania WAIT… What?! Redmi amefanya hivi?!

    Sh ngap?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Serikalu moja ndio jibu. Serikali tatu, ile ya tatu itakuja kufa kwa kukosa huduma. Hawa wa kule na hawa wa huku, itakosa mantiki ya uwepo.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Hata ABC bas tujue ba sis
  11. M

    JamiiForums Tanzania Usanii wa Ulega-Wizara ya Ujenzi

    Hapa naona hujaeleweka mkuu
  12. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    Mi Kachurumbiwa
Back
Top Bottom