Usipoamini uwepo wa Mungu na uwezo wake, ni kujitoa akili na kujifanya punguani.
Uwezo wa Mungu huwezi kuupima kwa akili zako hizo ambazo Mungu amezipa mipaka.
Usifananishe vitu vya duniani kwa akili yako, na Mbiguni na akili ya Mungu. Mungu goes to infinity. Haihitaji justification ila ni...
Umapokuta taifa lipo katika ufisadi mkubwa, kama wa kipindi cha JK, kuliweka sawa inahitaji ngivu kubwa sana nanubabe jui.
Kumbuka JK aliweka watu wengi kwenye system (ofcourse ninujanja wa mjin ili uwe godfather),
Watu wale waliweka system ya kuwawezesha washkaji na matajili wakwepa kodi...
Ambao hamuelewi husema hivyo. Kama ulikua hulipi kodi, unadanganya/Unadanganywa tu danganya tu kule TRA, yeye alipoingia na dhamira ya taifa kujitegemea na uchumi wa kati, ilibidi watu walipe kodi na sio kuchangiana kwenye matamasha ma milioni then wapaye relief ya kodi, wakati hao hao hao...
Kasema kitu kilichowazi, walalahoi walipata nafuu ya maisha, mifumuko ya bei ya kulazikisha aliikemea. Sababu sababu za kuleta maisha magumu kwa watanzania kwa kisingizio cha Vita au anything global ambapo kwa wengine ni mwanya wa kupiga pesa alikemea na kuleta unafuu wa maisha kwa walala hoi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.