Recent content by Mizam

  1. M

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Serikalu moja ndio jibu. Serikali tatu, ile ya tatu itakuja kufa kwa kukosa huduma. Hawa wa kule na hawa wa huku, itakosa mantiki ya uwepo.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Hata ABC bas tujue ba sis
  3. M

    JamiiForums Tanzania Usanii wa Ulega-Wizara ya Ujenzi

    Hapa naona hujaeleweka mkuu
  4. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    Mi Kachurumbiwa
  5. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    Upo sawa boss. Kaka mkuu.
  6. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    Unajigamba mwenyewe, ninyi watoto mnakasheshe sana. Acheni ujuha. Chagua viwili tu. 1. Toa pesa upate pesa, Hapa namaanisha kama hujajaza vizuri tii matakwa yao. 2. Kua mtu smart sana upate pesa. Hapa namaanisha kua jaza tenda vizuri na kila kitu kiwe halisia/asilia
  7. M

    JamiiForums Tanzania Unafikiri nani ana afadhali kupewa nafasi ya kuongoza CCM Tiketi ya urais 2030 kati ya hawa? Piga kura

    Yaan unaletaje watu kama hao? Huwez kuwaleta hao watu eti wapigiwe kura. Ni dharau sana hiyo.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Najivunia sana mama yangu ambaye alikuwa Single Mother

    Safi sana, siku ukiujua ukweli utarudi kuifuta hii nyuzi yako
  9. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    Mi mdogo kwako au kwa mleta mada? Ninyi ndio watoto mnaopiga kele humu. Mnataka mpewe tu vya bure na tenda mnajaza vibaya mkitolewa et mnaonewa. Acheni kutia tia huruma. Jaza vizuri na bei yako iwe nzuri.
  10. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    Na huwezi kuuziwa hiyo tenda bila kujaza vizuri
  11. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    Haya, kapambaneni na bei zenu za juu na mjaze vibaya tenda muone kama mtapata
  12. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    Kinachofanyika ndio hicho. Kumwambia mtu apush, maana yake nin? Wao pia wanawakaguzi. Wakikaguliwa na kukuta wamempa mtu wa bei juu, mfano mtu wa 10 kwenye rank kwa bei, watahojiwa na wanawezapoteza kazi. Bei unajaza wewe unayoona unaweza kufanya kazi. Hujazi bei ili kuwaridhisha au...
  13. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    It is simple, Jazatenda yako vizuri na usikosee sehemu, uwe na bei shindani au uwe na bei ndogo kuliko wengine na umejaza vizuri hujakosea hata nukta. Watakupa wala hawatakinyima. Shida inaijia pale unapotaka ubebwe. Wakube kwa kukuogopa? Yule atakaekubali kubebwa kwa masharti yao, abebeke...
  14. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    It is simple, Jazatenda yako vizuri na usikosee sehemu, uwe na bei shindani au uwe na bei ndogo kuliko wengine na umejaza vizuri hujakosea hata nukta. Watakupa wala hawatakinyima. Shida inaijia pale unapotaka ubebwe. Wakube kwa kukuogopa? Yule atakaekubali kubebwa kwa masharti yao, abebeke...
Back
Top Bottom