Unajigamba mwenyewe, ninyi watoto mnakasheshe sana. Acheni ujuha. Chagua viwili tu.
1. Toa pesa upate pesa,
Hapa namaanisha kama hujajaza vizuri tii matakwa yao.
2. Kua mtu smart sana upate pesa.
Hapa namaanisha kua jaza tenda vizuri na kila kitu kiwe halisia/asilia
Mi mdogo kwako au kwa mleta mada? Ninyi ndio watoto mnaopiga kele humu. Mnataka mpewe tu vya bure na tenda mnajaza vibaya mkitolewa et mnaonewa. Acheni kutia tia huruma. Jaza vizuri na bei yako iwe nzuri.
Kinachofanyika ndio hicho. Kumwambia mtu apush, maana yake nin? Wao pia wanawakaguzi. Wakikaguliwa na kukuta wamempa mtu wa bei juu, mfano mtu wa 10 kwenye rank kwa bei, watahojiwa na wanawezapoteza kazi.
Bei unajaza wewe unayoona unaweza kufanya kazi. Hujazi bei ili kuwaridhisha au...
It is simple,
Jazatenda yako vizuri na usikosee sehemu, uwe na bei shindani au uwe na bei ndogo kuliko wengine na umejaza vizuri hujakosea hata nukta. Watakupa wala hawatakinyima. Shida inaijia pale unapotaka ubebwe. Wakube kwa kukuogopa? Yule atakaekubali kubebwa kwa masharti yao, abebeke...
It is simple,
Jazatenda yako vizuri na usikosee sehemu, uwe na bei shindani au uwe na bei ndogo kuliko wengine na umejaza vizuri hujakosea hata nukta. Watakupa wala hawatakinyima. Shida inaijia pale unapotaka ubebwe. Wakube kwa kukuogopa? Yule atakaekubali kubebwa kwa masharti yao, abebeke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.