Recent content by Mizam

  1. M

    Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

    Hawana mchango wowote hata nyuzi zao ni vizuri zifutwe tu maana hazina maana yoyote.
  2. M

    Kwa Mnaotaka Kuninua Magari,Mda Ndio Huu.Shilingi ya Tanzania Yaikalia Kooni Dola.Magri bei chee ,Mafuta bei chee.

    Achana na hilo, hio haiwez kukaa hapo hapo kwa mida hata wa miez 6 ijayo. Itadrop tu sana. Kulinda thamani ya shiking iwe stable sio kwa ufisadi na pesa za magendo mtaan zisizo na njia maalumu.
  3. M

    Aliyesoma uchumi hata kwa ngazi ya Astashahada atakubaliana na Mimi kuwa Magufuli aliua uchumi wa Tanzania

    Kaka umeeleza vizuri sana. Ila Hawa Nyumbu walioshibishwa propaganda na uchawa juu hawatakuelewa maana uelewa wao ni mdogo sana. Hongera snaa bro kwa kulielewa hilo na kuwaele anaitwa chawa au muhuni kwa sababu ya akili kama hizo ukizonazo unazouliza maswali. Tunajiuliza, inakuaje mtu timamu...
  4. M

    Mtu aliyezowea umasikni, hakomboleki, Nyumba na (Mapagala)mengi ya watu masikini ndio yenye bendera za CCM

    Ukweli japo inauma. Uelewa wa Watanzania walio wengi hasa wanaoishi vijiji watu wazima bado wanaamini ccm hii ni ya Nyerere. Hawana cm za smart hata Polepole hawawez kumsikia. Hawajui kabisa kama CCM ya sasa haipo kwenye msingi ambao Nyerere aliuweka. Siku wakijua watabadilika.
  5. M

    Aliyesoma uchumi hata kwa ngazi ya Astashahada atakubaliana na Mimi kuwa Magufuli aliua uchumi wa Tanzania

    Upuuzi. Hakuna unalolielewa. Umelishwa propaganda hadi unazitapika.
  6. M

    Humphrey Polepole: Popote ulipo, naomba jibu la swali hili ukija kwenye press ya tarehe 3/9/2025 kama ulivyoahidi

    Hi ndio iliwadanganya, walisahahu vita viitakavyoanza ni vya aina gani.
  7. M

    GE2025 Mwanasiasa anayetaka kwenda Ikulu kwa kudanganya watu hatoshi

    Hii ndio mitu ya Ccm. Ina maana hawa watu nnetwork, hawaezi hata kuchukua vijana wanaojitambua, wenye hoja na wenye akili? Au wanakatazwa?
  8. M

    Polepole ni "double agent" wa CCM mjihadhari nae

    Safi sana kwa kumtambua. Saiz wanatumia mbinu nyepesi nyepesi sana kupindisha ukweli. Nadhani hawa watu uwezo wao wa akili ni mdogo sana,
  9. M

    Dark days 17/03/20

    The Master's last days are numbered. The patriots of the system have decided his fate. He cannot escape it. "Now this is his final end. The Master's last days are numbered. The patriots of the system have decided his fate. He cannot escape it. Now this is his last" ends.
  10. M

    R.I.P JPM, i used to hate u but now im even in darker room,I cry bitterly when I see JK,RM,Samia and Abdul.

    Muwe mnafuatilia mambo. Wengi walimchukia kwa drama za mtandao.
  11. M

    GE2025 Dkt. Bashiru ajitenga na Polepole, asema awamu ya 6 inafanya vizuri zaidi

    Katika mazingiea hayo, huwezi kusema tofauti. Protoko za ki intelijensi haziruhusu hilo.
  12. M

    Dark days 17/03/20

    Tumwagie nywele maji kabisa. Kinyozi anyoe atakavyo maana watz ndio hawa hawa
Back
Top Bottom