Tusipojua kuitafuta haki yetu wenyewe hakuna wa kutusemea...tatanzania tubadilike sasa, tunapochagua viongozi tusichague majina ya vyama wanavyotoka bali watu wenyewe kwa sifa zao. chama cha mafisadi kimetuchosha, angalieni maisha yanavyopanda kila kukicha, lakini JK na team yake kimya kama...
Tusipojua kuitafuta haki yetu wenyewe hakuna wa kutusemea...tatanzania tubadilike sasa, tunapochagua viongozi tusichague majina ya vyama wanavyotoka bali watu wenyewe kwa sifa zao. chama cha mafisadi kimetuchosha, angalieni maisha yanavyopanda kila kukicha, lakini JK na team yake kimya kama...
Haya yote ni matokeo ya watanzania wengi kujifanya hatujui kama CCM manake ni 'Chama Cha Mafisadi' na kuendelea kuwapa kura zetu. Hapa ndo tukome sasa, umasikini unazidi kukithiri kwa walala hoi, wabunge wanazidi kudai marupurupu manono, maisha yanazidi kupanda na hakuna anayejali, vigogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.