Recent content by Mitchell

  1. Mitchell

    Huyu mdada kanipenda au ananionea huruma tu?

    Shangaa na wewe Mkuu, yaani mtu asisaidiwe ishakuwa nongwa khaaa
  2. Mitchell

    Utajiri wa kidonda

    Kwa kweli watu wana roho ngumu sasa hapa mbona utakosa amani pamoja na hizo hela. Kwa kweli hapana
  3. Mitchell

    Wenye vilio vya muda mrefu (Matatizo ya kudumu) tukutane hapa

    Asante kwa ukumbusho Mkuu, barikiwa
  4. Mitchell

    Mr Pimbi ameeleza umma kuwa Harmonize amemlipa Kajala milioni Sabini ili warudiane

    Kila mtu na afanye yale yanayompa furaha maisha mafupi haya... ila hapo kwenye figure wabongo kwa kuongeza sifuri hatujamboo 🤣
  5. Mitchell

    Nifanye kipimo gani kwa mtoto wa miaka 11 anae zimia mara kwa mara nijue anaumwa nini

    Pole sana Mkuu Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi kwenye kupata suluhisho la mwanenu, naelewa mnachopitia kama Wazazi.
  6. Mitchell

    Unamjua mama mkwe wa kisasa Kajala?? Huu ndio mtoko wake wa Eid

    Zamani nilijuaga watu wanaovaa hivi eti hawana wazazi sijui nilikuwa nawaza nini.
  7. Mitchell

    Hivi kwanini Wakristo na Wayahudi wanashindwa kukariri angalau ukurasa mmoja wa vitabu vyao?

    Dah jamani kwa hiyo umetoka huko kabisa utushauri tukariri neno la Mungu Mkuu? kweli? ridiculous :confused: Mimi huwa nakazana kulisoma na kulielewa ili linisaidie kwenye safari hii maana huwa tunaamini duniani tunapita. Wewe endelea kukariri tuu hamna shida.
Back
Top Bottom