Recent content by Mitchell

  1. Mitchell

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki yangu kampa kadi ya benki mke wake na akipata mshahara wote anampa mkewe. Yuko sawa kweli?

    Mambo yao waachiwe wenyewe
  2. Mitchell

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mdada kanipenda au ananionea huruma tu?

    Shangaa na wewe Mkuu, yaani mtu asisaidiwe ishakuwa nongwa khaaa
  3. Mitchell

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchumba wangu aliachana na Mke kwa kulala na Mkwe wake

    We kweli mwehu khaaaa
  4. Mitchell

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

    Weeeeeeeeeeeeeee
  5. Mitchell

    JamiiForums Tanzania Utajiri wa kidonda

    Kwa kweli watu wana roho ngumu sasa hapa mbona utakosa amani pamoja na hizo hela. Kwa kweli hapana
  6. Mitchell

    JamiiForums Tanzania Umri wa miaka 30 hadi 35 ni wakati hofu kubwa sana na changamoto nyingi maishani

    Kwa kweli hili ni changamoto tena kubwa.
  7. Mitchell

    JamiiForums Tanzania Wenye vilio vya muda mrefu (Matatizo ya kudumu) tukutane hapa

    Asante kwa ukumbusho Mkuu, barikiwa
  8. Mitchell

    JamiiForums Tanzania Mr Pimbi ameeleza umma kuwa Harmonize amemlipa Kajala milioni Sabini ili warudiane

    Kila mtu na afanye yale yanayompa furaha maisha mafupi haya... ila hapo kwenye figure wabongo kwa kuongeza sifuri hatujamboo 🤣
  9. Mitchell

    JamiiForums Tanzania Majizo alivyotinga ukumbini tuzo za Samia na nguo za kulimia shambani

    Amependeza tu
  10. Mitchell

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa mliozaa nje ya ndoa,nipeni faida & changamoto zake, kabla sijafanya maamuzi

    Alooo !
  11. Mitchell

    JamiiForums Tanzania Nifanye kipimo gani kwa mtoto wa miaka 11 anae zimia mara kwa mara nijue anaumwa nini

    Pole sana Mkuu Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi kwenye kupata suluhisho la mwanenu, naelewa mnachopitia kama Wazazi.
  12. Mitchell

    JamiiForums Tanzania Unamjua mama mkwe wa kisasa Kajala?? Huu ndio mtoko wake wa Eid

    Zamani nilijuaga watu wanaovaa hivi eti hawana wazazi sijui nilikuwa nawaza nini.
  13. Mitchell

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini Wakristo na Wayahudi wanashindwa kukariri angalau ukurasa mmoja wa vitabu vyao?

    Dah jamani kwa hiyo umetoka huko kabisa utushauri tukariri neno la Mungu Mkuu? kweli? ridiculous :confused: Mimi huwa nakazana kulisoma na kulielewa ili linisaidie kwenye safari hii maana huwa tunaamini duniani tunapita. Wewe endelea kukariri tuu hamna shida.
Back
Top Bottom