Recent content by Misunderstood

  1. Misunderstood

    Naomba ushauri jinsi ya kumuapproach aliyenitafutia kazi, nataka kuacha kazi

    Nipo katika hii situation kwa sasa, mtoa mada nilimuona hajielewi ila kumbe mpaka yakufike. Dah
  2. Misunderstood

    Msoto wa maisha Dar es Salaam ulivyonifanya nitamani kuwa mwizi na mhujumu uchumi

    Ni Mimi pastor prakatatumba abaabaabaabaa etumba etumba. Amen Pastor😆😆
  3. Misunderstood

    Amzika mwanawe akiwa hai apate ‘kudanga’

    Geita, Mwanza na Shinyanga Geita, Mwanza na Shinyanga Geita, Mwanza na Shinyanga Geita, Mwanza na Shinyanga Hii mikoa ina watu hatari sana, shida nini?
  4. Misunderstood

    Baba achinjwa na familia yake akidaiwa kuwa kikwazo cha kutumia mali za familia

    Kwakuwa ni Mwanza basi utalaumiwa umaskini ila ingetokea Kilimanjaro ambapo ni nadra mauaji kutokea hapa makelele yangekuwa mengi. Ukweli ni kwamba Mwanza na Shinyanga ndipo wanaongoza kwa mauaji si wanawake si wanaume, hatua zakupambana na hiyo zichukuliwe either kielimu kwa jamii au kiroho...
  5. Misunderstood

    Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

    Pole mkuu! Wamekosa busara na hekima. Ila kiukweli watanzania tuna sifa nzuri sana nje ya nchi, kwa sehemu niliyopo (sio tz) ukisema wewe ni mtanzania basi utaanza kusifiwa kuwa watz wakarimu, wastaarabu nk. Tuzidi kudumisha hiyo tamadani ndugu zangu
  6. Misunderstood

    Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

    Mkuu nashindwa kuelewa labda unisaidie kutafakari! 4. Huyu mwingine date ilienda vizuri kabisa! Maongezi yalikuwa mazuri tena intelligent! Everything was good ingawa kuna kitu ambacho alikuwa anafanya nikawa naona kama weird saingine naona kawaida (alikuwa akiangalia kifua changu sana). Baada...
  7. Misunderstood

    Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

    2. Siku ya birthday yangu! Tumeenda date sehemu akaniletea cake! Kufungua keki tayari imekatwa nusu, kuumuuliza akasema nyumbani kwao wamekata! Nikasema sio case, tukakata pale kidogo na kuendelea kula chakula kingine! Muda wa kuondoka nashangaa anaibeba keki yote! Vipi???? Eti anawapelekea...
  8. Misunderstood

    Kumbukumbu ya moja ya tarehe mbaya kutokea (Worse Date Ever)

    1. Baada ya kunitafuta sana nikaona nimsikilize hata na hivyo nilikuwa bored! Tukapanga siku ya kuonana, cha kushangaza jamaa anang’ang’ania tuonane kuanzia saa5 usiku maana ndo ana muda (anakuwa katoka kazini) na sio kwamba tunaenda kwake au sehemu ya kificho. Nikasema sawa! Siku ya date...
  9. Misunderstood

    Huyu mwenzenu alikimbiwa na mke kisa ni kumlisha kauzu na dona kila siku

    Tafadhali nifungulie pm nina shida[emoji1431]
  10. Misunderstood

    Uchumba kwake ilikuwa ni shida, ndoa nayo ni shida

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. Misunderstood

    Nimefika jiji la Kampala, nilitoka Dar es Salaam saa 11 asubuhi

    Mpwayungu ni jipu[emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom