Wapendwa habari!
Mimi na mume tumejikuta njiapanda kwa kutokuelewa tuamuaje. Mimi ni mama wa mtoto wa mwaka mmoja na ndoa ya mwaka na miezi kadhaa. Mimi ni muajiriwa katika taasisi fulani hapa DSM, mume wangu miezi kadhaa iliyopita alipata nafasi ya kazi katika Halmashauri fulani mkoa wa...
Geita, Mwanza na Shinyanga
Geita, Mwanza na Shinyanga
Geita, Mwanza na Shinyanga
Geita, Mwanza na Shinyanga
Hii mikoa ina watu hatari sana, shida nini?
Kwakuwa ni Mwanza basi utalaumiwa umaskini ila ingetokea Kilimanjaro ambapo ni nadra mauaji kutokea hapa makelele yangekuwa mengi.
Ukweli ni kwamba Mwanza na Shinyanga ndipo wanaongoza kwa mauaji si wanawake si wanaume, hatua zakupambana na hiyo zichukuliwe either kielimu kwa jamii au kiroho...
Pole mkuu! Wamekosa busara na hekima.
Ila kiukweli watanzania tuna sifa nzuri sana nje ya nchi, kwa sehemu niliyopo (sio tz) ukisema wewe ni mtanzania basi utaanza kusifiwa kuwa watz wakarimu, wastaarabu nk. Tuzidi kudumisha hiyo tamadani ndugu zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.