Geita, Mwanza na Shinyanga
Geita, Mwanza na Shinyanga
Geita, Mwanza na Shinyanga
Geita, Mwanza na Shinyanga
Hii mikoa ina watu hatari sana, shida nini?
Kwakuwa ni Mwanza basi utalaumiwa umaskini ila ingetokea Kilimanjaro ambapo ni nadra mauaji kutokea hapa makelele yangekuwa mengi.
Ukweli ni kwamba Mwanza na Shinyanga ndipo wanaongoza kwa mauaji si wanawake si wanaume, hatua zakupambana na hiyo zichukuliwe either kielimu kwa jamii au kiroho...
Pole mkuu! Wamekosa busara na hekima.
Ila kiukweli watanzania tuna sifa nzuri sana nje ya nchi, kwa sehemu niliyopo (sio tz) ukisema wewe ni mtanzania basi utaanza kusifiwa kuwa watz wakarimu, wastaarabu nk. Tuzidi kudumisha hiyo tamadani ndugu zangu
Mkuu nashindwa kuelewa labda unisaidie kutafakari!
4. Huyu mwingine date ilienda vizuri kabisa! Maongezi yalikuwa mazuri tena intelligent! Everything was good ingawa kuna kitu ambacho alikuwa anafanya nikawa naona kama weird saingine naona kawaida (alikuwa akiangalia kifua changu sana). Baada...
2. Siku ya birthday yangu! Tumeenda date sehemu akaniletea cake! Kufungua keki tayari imekatwa nusu, kuumuuliza akasema nyumbani kwao wamekata! Nikasema sio case, tukakata pale kidogo na kuendelea kula chakula kingine! Muda wa kuondoka nashangaa anaibeba keki yote! Vipi???? Eti anawapelekea...
1. Baada ya kunitafuta sana nikaona nimsikilize hata na hivyo nilikuwa bored! Tukapanga siku ya kuonana, cha kushangaza jamaa anang’ang’ania tuonane kuanzia saa5 usiku maana ndo ana muda (anakuwa katoka kazini) na sio kwamba tunaenda kwake au sehemu ya kificho. Nikasema sawa! Siku ya date...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.